Juma Mgunda Hajamalizana na Simba Bado
SOKA LA BONGO

Upo uwezekano mkubwa wa Simba kuendelea na kocha wake msaidizi, Juma Mgunda katika msimu ujao licha ya usiri mkubwa ulikuwepo kati yake na mabosi wa timu hiyo.  Mgunda hakuwakatika msafara …

Soma zaidi
Ishu ya Sudi Abdallah Kutua Yanga Ipo Hivi
SOKA LA BONGO

Inaelezwa kuwa Sudi Abdallah, ambaye ni raia wa Burundi, ndiye straika mpya anayekuja Yanga kurithi mikoba ya Mayele anayeondoka kwenda kucheza kwenye moja ya klabu huko Saudi Arabia.   Sudi …

Soma zaidi
Porto Yaweka Bei ya Taremi Anayelengwa na Milan na Inter
Daily News

Porto wameripotiwa kuamua juu ya bei inayofaa kwa mshambuliaji Mehdi Taremi, ambaye anawaniwa na Milan, Inter pamoja na vilabu vingine vichache ndani ya Serie A na barani Ulaya.   Kulingana …

Soma zaidi
PSV Inavutiwa na De Ketelaere Lakini Milan Kuulizia Bei Yake Inaweza kuwa Shida
Daily News

PSV inasemekana kuwa na nia ya kumleta Charles De Ketelaere wa Milan kuchukua nafasi ya Xavi Simons anayeondoka msimu huu, lakini bei ya Milan inaweza kuwa tatizo kwa klabu ya …

Soma zaidi
Napoli Wameanza Mazungumzo na Tottenham Kuhusu Lo Celso
Daily News

Ripoti nyingi nchini Italia zinadai mkurugenzi mpya wa Napoli Maurizio Micheli ameanza mazungumzo na Tottenham kwa Giovani Lo Celso, wakati Los Angeles FC wametoa ofa kwa Hirving Lozano.   Napoli …

Soma zaidi
Mauro: “Siwezi Kuwachukua Wachezaji Kama Lukaku Pale Juventus”
Daily News

Kiungo wa kati wa zamani wa Juventus Massimor Mauro amesisitiza kwamba hatawachukua wachezaji kama Lukaku’katika klabu ya Juve huku kukiwa na uvumi kwamba mshambuliaji huyo wa zamani wa Inter amekuwa …

Soma zaidi
Cuadrado Kujiunga Inter kwa Uhamisho wa Bure
Daily News

Juan Cuadrado anakaribia kujiunga na Inter kwa uhamisho wa bure baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Juventus.   Mkongwe huyo wa Colombia anatazamiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja San …

Soma zaidi
Rais wa Bayern Hoeness Ana Uhakika wa Kumleta Kane kutoka Spurs
Daily News

Harry Kane ameashiria wazi uamuzi wake wa kuondoka Tottenham na kujiunga na Bayern Munich, kulingana na rais wa heshima wa klabu hiyo ya Ujerumani Uli Hoeness.   Kane amevutiwa na …

Soma zaidi
Busquets Aungana na Messi Katika Klabu ya Inter Miami
MLS

Inter Miami imemsajili kiungo Sergio Busquets baada ya kuondoka Barcelona katika dirisha hili kubwa la usajili.   Busquets mwenye miaka 35, ambaye alikuwa ametumia maisha yake yote ya uchezaji Nou …

Soma zaidi
Fabinho Kuelekea Al-Ittihad
Daily News

Kiungo wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Brazil Fabinho taarifa zinaeleza yuko mbioni kuelekea nchini Saudia Arabia kujiunga na klabu ya Al-Ittihad. Klabu ya Liverpool na Al-Ittihad …

Soma zaidi
1 2 3 434 435 436 437 438 439 440 2,270 2,271 2,272
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.