Donny Van De Beek Arejea na Goli Man United
Kiungo wa klabu ya Manchester United Donny Van De Beek amefanikiwa kucheza mchezo wake wa kwanza na klabu hiyo baada ya kutoka kwenye majeraha na kufanikiwa kufunga bao. Klabu ya …
Manchester United Kukipiga na Lyon
Klabu ya Manchester United itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa pili wa kujiandaa na msimu mpya kukipiga na klabu ya Olympique Lyon nchini Scotland. Manchester United watakua nchini Scotland …
Onana: Nataka Kushinda Taji la Ulaya na Man United
Golikipa mpya ya Manchester United Andre Onana amesema anaamini atashinda taji la ligi ya mabingwa ulaya na klabu hiyo kutoka nchini Uingereza. Golikipa Onana ametoka kucheza fainali ya ligi ya …
Aubameyang Aibukia Marseille
Aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Chelsea, Arsenal,Barcelona na Dortmund Pierre Emerik Aubameyang amefanikiwa kujiunga na klabu ya Olympique Marseille. Aubameyang amejiunga na klabu ya Olympique Marseille kwa mkataba wa miaka …
Mendy Arejea Uwanjani Asaini Lorient
Aliyekua beki wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Ufaransa Benjamin Mendy amefanikiwa kurudi uwanjani na amejiunga na klabu ya Lorient ya nchini Ufaransa. Benjamin Mendy ambaye …
Nabi Kocha Mpya Far Rabat
NI rasmi Nasreddine Nabi (57) aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha wa mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat. Ni mkataba wa miaka miwili amesaini kwa ajili ya …
Singida Wambakiza Atta Agyei
Enock Atta Agyei :- Ni sehemu ya wachezaji wa Singida Fountain gates ambao wamesafiri na timu kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya. Enock tangu …
Simba Kumshusha Mrithi wa Manula
INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye …
Marcus Rashford Yupo United Mpaka 2028
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Marcus Rashford hatimae amesaini kandarasi yake mpya ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo mpaka 2028. Marcus Rashford ambaye alikua …
Man United Wamrudisha Jonny Evans
Klabu ya Man United imemrudisha aliyekua beki wake Jonny Evans kwa mkataba wa muda mfupi beki huyo ambaye alikua anaitumikia klabu ya Leicester City ambayo imeshuka daraja msimu uliomalizika. Jonny …

