Bruno Fernandez Nahodha Mpya United
Erik ten Hag amemteua Bruno Fernandes kuwa nahodha mpya wa Manchester United msimu ujao. Kiungo huyo anachukua unahodha kutoka kwa Harry Maguire, ambaye alinyang’anywa jukumu hilo baada ya kuangukia …
City Wanamlenga Raphinha Azibe Pengo la Mahrez
Manchester City wanamlenga winga wa Barcelona Raphina kuchukua nafasi ya Riyad Mahrez aliyekwenda Saudi Arabia. Mahrez mwenye miaka 32, yuko mbioni kujiunga na Al-Ahli kwa pauni milioni 30 baada …
Harry Kane Hatasaini Mkataba Mpya Tottenham
Harry Kane hatasaini mkataba mpya na Tottenham huku Bayern Munich wakionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kumsajili mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29. Harry Kane ambaye ni nahodha …
Gamondi Atoa Kauli ya Kibabe Yanga
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi amesema hana shinikizo lolote kuelekea msimu ujao na anaimani yakufanya vizuri akiwa na mabingwa hao wa soka la Tanzania. Miguel amezungumza hayo …
Kaze Aaga Rasmi Yanga
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Yanga Cedric kaze amewaaga rasmi mashabiki, wanachama na viongozi wa timu hiyo mara baada ya kuachana na timu hiyo. Cedric Kaze atarudi nchini kwao Burundi kwenda …
Chilunda Asaini Miaka Miwili Simba
TAARIFA za kuaminika kutoka ndani ya Simba zinaweka wazi kuwa uongozi huo umemalizana na mshambuliaji wa zamani wa Azam FC Shaban Idd Chilunda akiwa kama mchezaji huru. Mtoa taarifa huyo …
Wolves Wamrudisha Doherty
Klabu ya Wolves inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza imefanikiwa kumrudisha beki wake wa kulia ambaye alikua klabu ya Tottenham Hotspurs na baadae kutimkia Atletico Madrid Matt Doherty. Matt Doherty alijiunga …
Manchester United Kutuma Ofa Rasmi kwa Hojlund
Klabu ya Manchester United inatarajiwa kutuma ofa rasmi kwa klabu ya Atalanta kwajili ya kumsaini mshambuliaji wa klabu hiyo Rasmus Hojlund. Manchester United itafungua mazungumzo rasmi na Atalanta pamoja na …
Mane Kuibukia Al Nassr
Winga wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Senegal Sadio Mane anatarajiwa kujiunga na klabu ya Al Nassr kutoka nchini Saudia Arabia kutokana na ripoti mbalimbali. Taarifa …
Arthur Melo Kucheza Fiorentina Msimu Ujao
Kiungo wa klabu ya klabu ya Juventus raia wa kimataifa wa Brazil Arthur Melo anatarajiwa kujiunga na klabu ya Fiorentina kwa mkopo wa msimu mmoja. Kiungo huyo wa kimataifa wa …

