PSG Waingia Vitani na Man United kwa Hojlund
Ligue 1

Klabu ya PSG imeamua kuingia vitani jumlajumla na klabu ya Manchester kwa mshambuliaji wa klabu ya Atalanta na timu ya taifa ya Denmark Rasmus Hojlund. PSG wanaripotiwa kua tayari kutoa …

Soma zaidi
Ten Hag: Maguire ni Mchezaji Muhimu Bado
News

Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amemzungumzia alieykua nahodha wa klabu hiyo Harry Maguire kua bado beki huyo ni mchezaji muhimu kwenye kikosi hicho. Beki Harry Maguire alivuliwa kitambaa …

Soma zaidi
Nottingham Forest Wamtaka Elanga
Daily News

Klabu ya Nottingahm Forest imetuma maombi kwa klabu ya Manchester United ya kumuhitaji winga wa klabu hiyo Anthony Elanga kwa mkopo wa msimu mzima. Nottingham Forest wanamuhitaji winga Elanga kwajili …

Soma zaidi
Harry Kane Akataa Kusaini Mkataba Mpya Spurs
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane amegoma kusaini mkataba mpya na klabu hiyo na anataka kuondoka kwenye timu hiyo. Harry Kane mkataba …

Soma zaidi
Ten Hag Ammwagia Misifa Onana
Daily News

Baada ya Golikipa Andre Onana kutangazwa rasmi jana kama golikipa mpya wa klabu ya Manchester United kocha wa klabu hiyo Erik Ten Hag amemmwagia sifa kedekede kipa huyo. Kocha Ten …

Soma zaidi
Klabu Moja Kutoka Saudi Inamhitaji Lautaro Martinez
Daily News

Kulingana na ripoti za jana jioni, klabu kutoka Saudi Arabia ina nia ya kumpa mkataba mkubwa Lautaro Martinez katika jaribio la kumvuta kutoka Inter.   Kulingana na Cesar Luis Merlo …

Soma zaidi
Marseille Inavutiwa na Beki wa Pembeni wa Roma Karsdorp
Daily News

Olympique Marseille wanafikiria kumnunua Rick Karsdorp na wanaweza kuanzisha mazungumzo na Roma siku zijazo.   Beki huyo wa pembeni wa Uholanzi mwenye miaka 28, hakuwa na msimu rahisi msimu uliopita, …

Soma zaidi
City Wanamuwania Nyota wa Inter Barella
Daily News

TMW wanadai kuwa Manchester City watatafuta kumnunua nyota wa Inter Nicolo Barella iwapo watamuuza Bernardo Silva.   Ripoti hiyo inaeleza jinsi City kwa sasa wanajadili uwezekano wa kuuzwa kwa winga …

Soma zaidi
Milan Wanakaribia Kukamilisha Dili na Villarreal kwa Chukwueze
Daily News

Mshambuliaji wa Villarreal na mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, Samuel Chukwueze anakaribia kupata uhamisho wa kwenda Milan baada ya majadiliano mazuri kati ya klabu hizo mbili Jumatano.   Taarifa kutoka …

Soma zaidi
Nyota wa Italia na PSG Donnarumma Avamiwa Nyumbani Kwake
Ligue 1

Ripoti nyingi zinadai nyota wa Italia na PSG Gianluigi Donnarumma alifanyiwa uvamizi na kuibiwa nyumbani kwake huko Paris jana usiku.   Vyombo vya habari vya Ufaransa Actu 17 na vyanzo …

Soma zaidi
1 2 3 427 428 429 430 431 432 433 2,270 2,271 2,272
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.