Kerr Kukosa mechi 2 za Kwanza za Kombe la Dunia za Matildas Kutokana na Jeraha la Mguu
Mshambuliaji nyota wa Australia Sam Kerr atakosa michezo miwili ya kwanza ya kampeni ya Kombe la Dunia la Wanawake kutokana na jeraha la mguu. Kerr ndiye mchujo wa michuano …
Bruno Fernandes Rasmi Nahodha Mpya wa Man United
Kiungo wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ureno Bruno Fernandes ametangazwa kua nahodha mpya wa klabu hiyo baada ya Harry Maguire kuvuliwa unahodha. Mwandishi wa ndani …
Danjuma Kujiunga Everton
Aliyekua winga wa klabu ya Villarreal ya nchini Hispania ambaye alikua kwa mkopo klabu ya Tottenham Hotspurs kwa mkopo Arnaut Danjuma anatarajiwa kujiunga na klabu ya Everton. Winga Danjuma atajiunga …
Milan Kuwaacha Origi, Rebic na Ballo Toure Kwenye Ziara ya Marekani
Milan wanachukua msimamo thabiti na wanatarajiwa kuwaacha nyuma Divock Origi, Ante Rebic na Fode Ballo-Toure kwa ziara ya maandalizi ya msimu mpya nchini Marekani. The Rossoneri imekuwa moja ya …
Reijnders Ajiunga na AC Milan
Milan wametangaza rasmi kuwasili kwa Tijjani Reijnders, ambaye amejiunga na uhamisho wa uhakika kutoka AZ Alkmaar. The Rossoneri wamekuwa wakifanya kazi ya kuimarisha safu yao ya kiungo msimu huu …
Chelsea Wanataka Maguire Apunguze Jeraha la Fofana
Chelsea wanafikiria kumnunua Harry Maguire ambaye ni mchezaji wa Manchester United kufuatia jeraha la ACL la Wesley Fofana. Fofana mwenye miaka 22, anakabiliwa na miezi kadhaa nje ya uwanja …
Saint-Maximin Yupo Katika Mazungumzo Kuondoka Newcastle
Eddie Howe amethibitisha kuwa Allan Saint-Maximin yuko kwenye majadiliano kuhusu kuhamia klabu nyingine kufuatia ushindi wa Newcastle wa 2-1 dhidi ya Rangers huko Ibrox. Mshambuliaji huyo alikosekana kwenye kikosi …
Cuadrado Aeleza Kwanini Alijiunga na Inter Baada ya Kuondoka Juventus
Juan Cuadrado amefunguka kuhusu kwanini aliamua kujiunga na Inter baada ya kuitumikia Juventus kwa miaka nane. Mkataba wa winga huyo wa Colombia mwenye umri wa miaka 35 mjini Turin …
RB Salzburg Inakaribia Kumsajili Turco wa Juventus
SportItalia wanapendekeza kwamba RB Salzburg wanakaribia kukamilisha dili la kipaji anayechipukia wa Juventus Nicolo Turco. Mshmabuliaji huyo chipukizi alikuwa sehemu ya kikosi cha Azzurrini ambacho kilishinda Mashindano ya Ubingwa …
Mahojiano ya Dele Alli Yalikuwa Yakuumiza Kwa Pochettino Kuyatazama Yote
Mauricio Pochettino hakuweza kutazama toleo kamili la mahojiano ya kihisia ya Dele Alli na Gary Neville. Akiongea kwenye kipindi cha The Overlap wiki iliyopita, Dele ambaye ni kiungo wa …

