Saint-Maximin Yupo Katika Mazungumzo Kuondoka Newcastle
Eddie Howe amethibitisha kuwa Allan Saint-Maximin yuko kwenye majadiliano kuhusu kuhamia klabu nyingine kufuatia ushindi wa Newcastle wa 2-1 dhidi ya Rangers huko Ibrox. Mshambuliaji huyo alikosekana kwenye kikosi …
Cuadrado Aeleza Kwanini Alijiunga na Inter Baada ya Kuondoka Juventus
Juan Cuadrado amefunguka kuhusu kwanini aliamua kujiunga na Inter baada ya kuitumikia Juventus kwa miaka nane. Mkataba wa winga huyo wa Colombia mwenye umri wa miaka 35 mjini Turin …
RB Salzburg Inakaribia Kumsajili Turco wa Juventus
SportItalia wanapendekeza kwamba RB Salzburg wanakaribia kukamilisha dili la kipaji anayechipukia wa Juventus Nicolo Turco. Mshmabuliaji huyo chipukizi alikuwa sehemu ya kikosi cha Azzurrini ambacho kilishinda Mashindano ya Ubingwa …
Mahojiano ya Dele Alli Yalikuwa Yakuumiza Kwa Pochettino Kuyatazama Yote
Mauricio Pochettino hakuweza kutazama toleo kamili la mahojiano ya kihisia ya Dele Alli na Gary Neville. Akiongea kwenye kipindi cha The Overlap wiki iliyopita, Dele ambaye ni kiungo wa …
Pochettino Ameamua Kumfanya Mudryk Aruke Vizuri Tena
Mauricio Pochettino amempa Mykhailo Mudryk nyongeza kwa wakati kabla ya mechi ya kwanza ya Chelsea ya kujiandaa na msimu mpya. The Blues wameanza ziara yao ya Amerika dhidi ya …
Rooney Awaambia Maguire na Greenwood Waondoke Man United
Nahodha wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amewaambia Harry Maguire na Mason Greenwood waondoke Old Trafford. Maguire alivuliwa unahodha wiki iliyopita katika hatua nyingine iliyoonekana kufanywa na meneja …
Simba Kazi inaendelea Uturuki
MASTAA wa kikosi cha Simba ambao wamejiunga na timu hiyo Julai 18 wameanza mazoezi na wachezaji wengine waliotangulia. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kimeanza maandalizi ikiwa ni …
Yanga Yamshusha Makudubela ni Hatari
NI Mahlatse Manoka Makudubela ni nyota mwenye uwezo mkubwa akiwa ndani ya uwanja kutokana na kumiliki, kutoa pasi na chenga za kukera atakuwa Jangwani. Huyu ndiye atakayepewa namba sita ndani …
Akpan Kurejea Ihefu
KIUNGO Victor Ackpan raia wa Nigeria aliyekutana na Thank You ndani ya Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Ihefu wapeleka maumivu kwa Yanga. Ikumbukwe kwamba Ihefu ni …
Mahrez Kutimkia Saudia Arabia
Winga wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Algeria Riyad Mahrez amefanikiwa kufikia makubaliano na klabu ya Al Ahli kwajili ya kujiunga na timu hiyo. Manchester City …

