Milan Yaachana na Dili la Traore, Roma Bado Inamtaka
Milan wameachana na wazo la kumsajili mchezaji huru Adama Traore, hivyo Roma wanajiamini zaidi kwamba wanaweza kufanya makubaliano na mchezaji huyo. Ndani ya Milan alikuwa chaguo la kwanza la …
Willian Atembelea Uwanja wa Mazoezi wa Forest, Huku Akihusishwa na Klabu Hiyo
Willian alitembelea uwanja wa mazoezi wa Nottingham Forest kabla ya uhamisho wake unaowezekana msimu huu wa joto. Mkataba wa Mbrazil huyo unamalizika Fulham na amekuwa kwenye mazungumzo na Forest …
Rodrigo Anaondoka Leeds na Kujiunga na Al-Rayyan ya Qatar
Leeds United wametangaza kuwa mchezaji wa zamani wa klabu yao Rodrigo amejiunga na Al-Rayyan ya Qatar. Leeds United iligharimu pauni milioni 27 walipomsajili mshambuliaji huyo wa Uhispania kutoka Valencia …
Yanga Yapigwa Mkwara kwenye Usajili
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa usajili ambao wameufanya watawasumbua kwelikweli wapinzani wao kwenye mechi zote za ushindani. Ni mzawa Nickson Kibabage kutoka Singida Fountain Gate huyu ametambulishwa ndani …
KMC sura Mpya Msimu Ujao
ABDI Hamid Moallin ni kocha mpya ndani ya kikosi cha KMC chenye ngome yake pale Kinondoni. Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Azam FC amerejea kwa mara nyingine kwenye ardhi ya …
Nunez Apewa Jezi ya Firmino
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Darwin Nunez amekabidhiwa jezi namba tisa ambayo ilikua ikivaliwa na mshambuliaji Roberto Firmino ambaye ametimka klabuni hapo. Nunez ambaye alisajiliwa kwa gharama kubwa msimu uliomalizika …
Simba Yamalizana na Miquisonne
Klabu ya Simba inataarifiwa imemalizana na aliyekua winga wake wa zamani ambaye kwasasa alikua mchezaji wa Al Ahly Luis Miquisonne na ataitumikia klabu hiyo msimu ujao. Klabu ya Simba ilielezwa …
Pogba na Juventus Huenda Wakifika Mwisho
Kiungo wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba ambaye amewahi kukipiga klabu ya Manchester United huenda akafikia mwisho ndani ya klabu hiyo. Vyanzo mbalimbali kutoka …
Henderson Kutimka Liverpool
Nahodha wa klabu ya Liverpool Jordan Henderson atatimka ndani ya klabu hiyo baada ya kuitumikia kwa muda mrefu na anadaiwa kutimkia Uarabuni msimu ujao. Henderson amekua kwenye kiwango kikubwa kwa …
Delle Alli: Aweka Wazi kilichokua kinamsumbua
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Tottenham Hotspurs ambaye kwasasa anakipiga klabu ya Everton Delle Alli amefunguka nini ambacho kimemfanya kupotea na kushuka uwezo kwa kiasi kikubwa. Delle Alli wakati …

