Onana, Kraumo Waipa Simba Jeuri
SOKA LA BONGO

BAADA ya Simba kukamilisha usajili wa mawinga wawili kiboko Willy Esomba Onana na Aubin Kramo,wameanza tambo kwa kutamba kuwa msimu ujao hawataacha kila kitu kwani watakuwa na wachezaji wa maana. …

Soma zaidi
Kocha Yanga Aahidi Makombe
SOKA LA BONGO

KOCHA mpya wa Yanga Miguel Angel Gamond amesema kuwa kwa sasa jambo ambalo analifikiria ni kuifanya Yanga kutwaa mataji muhimu ili kuendeleza ubora waliouonyesha msimu uliopita. Yanga msimu uliopita walifanikiwa …

Soma zaidi
Gamondi Afanya Maamuzi Magumu
SOKA LA BONGO

KOCHA mkuu wa Yanga Miguel Angel Gamondi ameuambia uongozi wa Yanga kuwa anawahitaji wachezaji mapema iwezekanavyo kambini ili aweze kutengeneza muunganiko mzuri baina yake na wachezaji hao. Kocha Gamondi amebariki …

Soma zaidi
Manchester United Waanza Pre-Season Vizuri
Daily News

Klabu ya Manchester United wameanza maandalizi ya msimu mpya vizuri baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya Leeds United katika mchezo uliopigwa nchini Norway leo. …

Soma zaidi
Fulham Vitani Kumbakiza Willian
Daily News

Klabu ya Fulham italazimika kuingia vitani kuhakikisha inambakiza winga wa kimataifa wa Brazil Willian klabuni hapo baada ya mkataba wake kumalizika mwezi Juni mwaka huu. Fulham wamejikuta wanaingia vitani na …

Soma zaidi
Salim Try Again Aahidi Kishindo Kikubwa Simba
SOKA LA BONGO

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba Salim Try Again ameahidi kishindo kikubwa kwenye usajili kwa wanasimba mapema leo katika shughuli ya uzinduzi wa kadi wanachama. Simba leo …

Soma zaidi
Laporta: Dembele Haendi Popote
La Liga

Rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amesema winga wa kimataifa wa Ufaransa anayekipiga ndani ya klabu hiyo Ousmane Dembele ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo. Laporta akiongea na wanahabari …

Soma zaidi
Joao Felix Kwenye Rada za Ten Hag
Daily News

Winga wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno Joao Felix ameingia kwenye rada za kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag katika dirisha hili …

Soma zaidi
West Ham Kumuachia Mshambuliaji Wake
Daily News

Mshambuliaji wa West Ham raia wa kimataifa wa Italia Gianluca Scamacca anatarajiwa kuondoka ndani ya klabu hiyo na kutimkia klabu ya As Roma nchini kwao. West Ham wako tayari kumuachia …

Soma zaidi
Man United Yamuweka Kando Hojlund Kwajili ya Onana
Daily News

Klabu ya Man United wamekua kwenye mchakato wa kutafuta mshambuliaji mpya kuelekea msimu ujao lakini wameueka kando kwanza mpango huo kwajili kumalizana na dili la Onana. Man United walikua wanamfukuzia …

Soma zaidi
1 2 3 441 442 443 444 445 446 447 2,270 2,271 2,272
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.