Joao Felix Kwenye Rada za Ten Hag

Winga wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno Joao Felix ameingia kwenye rada za kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag katika dirisha hili la usajili.

Joao Felix ambaye amerudi kwenye klabu yake ya Atletico Madrid akitokea klabu ya Chelsea ambapo alikua kwa mkopo wa nusu msimu, Kocha Ten Hag anataka kumuongeza mchezaji kama sehemu ya maboresho ya kikosi chake.Joao felixTen Hag anaripotiwa kua mshabiki mkubwa wa winga huyo wa kimataifa wa Ureno na anamuhitaji kwenye kikosi chake kwakua anaona ni mchezaji ambaye anaweza kuongeza kitu kikubwa ndani ya klabu hiyo katika eneo la ushambuliaji.

Joao Felix imekua ikielezwa kua aina ya mpira wa klabu ya Atletico Madrid chni ya kocha Diego Simeone imekua haimfai na anafaa akicheza zaidi kwenye timu ambayo inacheza mpira wa kushambulia na sio wa kuzuia kama wa kocha Simeone.Joao felixKocha Ten Hag yeye inaelezwa kua atahitaji saini ya winga huyo kwa mkopo wa msimu mzima kutokea klabu ya Atletico Madrid, Huku upande wa Joao Felix unakielezwa hauna tatizo na suala hilo zaidi wakitegemea maamuzi ya klabu ya Atletico.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.