Manchester City Wametawazwa Kuwa Mabingwa wa EPL
Daily News

Manchester City wameshinda taji lao la tano la Ligi kuu ya Uingereza ndani ya misimu sita baada ya Arsenal kufungwa 1-0 na Nottingham Forest hapo jana.   Kupoteza huko kunamaanisha …

Soma zaidi
De Zerbi: “Brighton Wanastahili Kucheza Michuano Mikubwa Ulaya Msimu Ujao”
Daily News

Roberto De Zerbi anasisitiza Brighton wanastahili kufuzu kucheza michuano mikubwa Ulaya msimu ujao kutokana na juhudi zao katika kampeni ya sasa.   Seagulls watakabiliana na Southampton iliyoshuka daraja Jumapili kwenye …

Soma zaidi
Lyon Yaongeza Nafasi ya Kucheza Uropa Msimu Ujao
Ligue 1

Lyon imeongeza nafasi yake ya kupata nafasi ya kucheza Uropa msimu ujao kwa kutoka nyuma na kuambulia ushindi wa 3-1 wa Ligue 1 dhidi ya Monaco, ambao matumaini yao madogo …

Soma zaidi
United Inaweza Kumkosa Rashford Katika Mchezo Wao Dhidi ya Bournemouth
Daily News

Manchester United wanaweza tena kumkosa Marcus Rashford kwa safari yao ya Ligi Kuu dhidi ya Bournemouth hapo kesho.   Mshambuliaji huyo alikosa ushindi wa wikendi iliyopita dhidi ya Wolves kutokana …

Soma zaidi
Frank: “Mustakabali wa Ivan Toney Upo Hapa Brentford”
Daily News

Thomas Frank amesema mustakabali wa Ivan Toney utakuwa Brentford baada ya mshambuliaji huyo kufungiwa miezi nane bila kujihisisha na mpira kwa makosa ya kucheza kamari.   Mchezaji huyo mwenye umri …

Soma zaidi
Jones Kuondoka Man Utd Huku Akiandamwa na Majeraha
Daily News

Phil Jones atatazama nyuma kwa furaha miaka 12 akiwa Manchester United licha ya kukiri kuwa na siku ngumu katika vita vyake vya majeraha baada ya kutangazwa kuwa ataondoka katika klabu …

Soma zaidi
Howe Anajua Newcastle Italazimika Kusimama Vizuri Kucheza Ligi ya Mabingwa
Daily News

Eddie Howe amekiri Newcastle itahitaji wachezaji wawili wa XI wenye ubora sawa ili kukabiliana na ugumu wa soka la Ulaya msimu ujao.   Alipoulizwa hilo litamaanisha nini kwa dirisha la …

Soma zaidi
City Wanamtaka Gvardiol Katika Mabadiliko ya Safu ya Ulinzi
Daily News

Manchester City wanataka kumsajili Josko Gvardiol kutoka RB Leipzig msimu huu wa joto kuendelea kuimarisha eneo hilo la mabeki.   Kwa mujibu wa The Daily Maily Aymeric Laporte huenda akaondoka …

Soma zaidi
Shabiki wa Fiorentina Augua Wakati wa Nusu Fainali ya Ligi ya Konferensi
Europa Conference League

Nusu fainali ya Ligi ya Konferensi ya Fiorentina na FC Basel ilisimamishwa kwa takriban dakika 10 kwa sababu shabiki wake alishukiwa kuwa na mshtuko wa moyo, lakini ripoti zinasema yuko …

Soma zaidi
Mourinho Asherehekea Ushindi wa Roma wa Europa kwa Mtindo wa Pekee
Europa League

Jose Mourinho alionekana kuwa na furaha aliposherehekea na wafuasi wa Roma kwenye Uwanja wa BayArena baada ya kushikilia sare ya 0-0 dhidi ya Bayer Leverkusen na kufanikiwa kufuzu fainali ya …

Soma zaidi
1 2 3 502 503 504 505 506 507 508 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.