Juventus Yakatwa Pointi 10 Kutokana na Makosa ya Uhamisho
Juventus wamepandishwa kizimbani baada ya kukatwa pointi 10 na shirikisho la soka la Italia kwa makosa ya uhamisho wa klabu hiyo. Awali timu hiyo ya Serie A iliadhibiwa kwa …
Newcastle United Yajihakikishia Kucheza Ligi ya Mabingwa
Newcastle wamejikatia tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa wakiwa na mchezo mmoja wa kucheza baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Leicester wanaopambana kushuka daraja. Haikuwa bila wasiwasi …
Roma Wapo Kwenye Mazungumza na Aouar, N’Dicka na Tielemans
Roma tayari wameripotiwa kukubaliana na Houssem Aouar na sasa wanaelekeza nguvu zao kwa wachezaji huru Evan N’Dicka na Youri Tielemans. Giallorossi walishinda Ligi ya Mikutano msimu uliopita na sasa …
Napoli Itatangaza Kuondoka kwa Spalletti Baada ya Mechi ya Sampdoria
Corriere dello Sport inapendekeza kwamba Napoli itathibitisha rasmi kuondoka kwa kocha Luciano Spalletti baada ya mchezo wao wa mwisho wa msimu dhidi ya Sampdoria. Kocha huyo wa Kiitaliano mwenye …
Milan Wanajiandaa Kufanya Mazungumzo na Balogun
Milan wanataka kuwekeza katika nambari mpya tisa msimu wa joto na wanajiandaa kufungua mazungumzo na Folarin Balogun na msafara wake. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 ameng’ara msimu …
Chelsea Kumkosa Benoit Badiashile Mwanzo wa Msimu 2023/24
Beki wa Chelsea Benoit Badiashile anatazamiwa kuzikosa mechi za mwanzo wa msimu 2023/24 kutokana na jeraha la paja. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator …
McGinn Anasema Chini ya Emery Kila Siku ni Kama Shule Huko Villa
Kiungo wa kati wa Aston Villa John McGinn anakiri kuwa na nafasi ya kufuzu kwa Ulaya kwa mara ya kwanza katika zaidi ya muongo mmoja ni jambo ambalo hawakufikiri lingewezekana …
Arsenal Wanakaribia Kuipiku Chelsea Katika Mbio za Caicedo
Arsenal wamewatangulia wapinzani wao wa London Chelsea katika mbio za kumnasa kiungo wa Brighton Moises Caicedo. Caicedo mwenye miaka 21, anatarajiwa kuwa moto katika dirisha la usajili la majira …
Willian Afurahi Kuwa na Kiwango Sahihi Fulham
Mshambuliaji wa Fulham Willian anafuraha kuwaonyesha wapinzani kuwa hajakosea wamekosea kurejea Ligi Kuu ya Uingereza kampeni hii. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alikaa Chelsea kwa misimu saba …
PSG Anahitaji Ushindi Pekee Mechi Ijayo Kuwa Bingwa Ligue 1
PSG wanakimbilia kutwaa taji lingine la Ligue 1 baada ya kushinda jana mabao 2-1 dhidi ya Auxerre, huku mabao hayo yakitoka kwa Kylian Mbappe. Nyota huyo wa Ufaransa alifunga …

