Rekodi za Sevilla Kwenye Europa League
Sevilla FC ni moja ya vilabu vikubwa nchini Hispania, na kati ya vilabu vyenye mafanikio makubwa zaidi katika michuano ya Europa League. Klabu hii imekuwa na mafanikio ya kushangaza katika …
Jim Ratcliffe Mnunuzi wa United Ndiye Mtu wa Pili kwa Utajiri
Jim Ratcliffe wa Manchester United sasa ndiye mtu wa pili kwa utajiri nchini Uingereza, kulingana na Orodha ya Matajiri ya Sunday Times, huku waundaji wa orodha hiyo wakiweka utajiri wake …
Mshindi wa TZS 20,000,000/= | Kasino ya mtandaoni Atoboa Siri ya Ushindi Huo
Mshindi wa kiasi cha Tsh Milioni 20,000,000/= za Meridianbet kasino ya mtandaoni amefichua siri kubwa ya ushindi huo, huku akisema kwamba kucheza mara kwa mara kumemfanya aibuke Mfalme wa …
Guardiola Aongoza Orodha ya Makocha waonawania Tuzo ya Kocha Bora Epl
Kocha Pep Guardiola wa klabu ya Manchester City aongoza orodha ya makocha wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu akimbatana na makocha wengine. …
Yanga Yatinga Fainali ya Afrika Kibabe
Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika kibabe baada ya kuifumua klabu ya Marumo Gallants kwa mabao mawili kwa moja katika uwanja …
Ivan Toney Nje Miezi Nane Kwa Kosa la Kubashiri
Mshambuliaji wa klabu ya Brentford na timu ya taifa ya Uingereza Ivan Toney amefungiwa kujihusisha na shughuli zozote kimichezo kwa muda wa miezi nane na shirikisho la soka la Uingereza …
Bonucci Kustaafu Mwisho wa msimu Ujao
Beki wa kimataifa wa Italia na klabu ya Juventus Leonardo Bonucci amesema anatarajia kustaafu mwishoni mwa msimu ujao ikiwa mkataba wake ndani ya klabu hiyo utatamatika pia mwishoni mwa msimu …
Manchester United Yamnyatia Mane
Winga wa zamani wa klabu ya Liverpool anayekipiga katika klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane inaelezwa kufukuziwa na mashetani wekundu klabu ya Manchester United kuelekea kufunguliwa kwa …
Manchester City Dhidi ya Real Madrid leo na Ndoto za Treble
Klabu ya Manchester City leo itashuka dimbani kuikaribisha Real Madrid katika mchezo wa nusu fainali wa marudiano wa ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa katika dimba la Etihad usiku wa leo. …
Xaka Kutimka Arsenal Mwishoni mwa Msimu
Kiungo wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Uswisi Granit Xaka anatarajia kutimka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa takribani miaka …

