Ward-Prowse Anaamini Southampton Inaweza Kurejea kwa Haraka EPL
Daily News

Nahodha wa Southampton James Ward-Prowse ana amini kuwa timu yao inaweza kurejea haraka kwenye ligi kuu ya Uingereza kufuatia maumivu ya kushushwa daraja hapo jana.   Hatima ya Saints ilitiwa …

Soma zaidi
Simba Yaishusha Ruvu Shooting Daraja
SOKA LA BONGO

Rasmi jana klabu ya Ruvu Shooting imeshuka daraja baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Simba SC kwenye mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Chamazi jijini Dar es …

Soma zaidi
Ten Hag: Asema Diallo Yupo Kwenye Mipango Yake
Daily News

Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema kua kinda wa klabu hiyo Amad Diallo yupo kwenye mipango na atampa nafasi kwenye timu yake baada ya kumaliza mkopo …

Soma zaidi
KMC Yarudisha Matumaini Kubaki Ligi Kuu Yaipasua Singida
SOKA LA BONGO

Klabu ya KMC imefufua matumaini ya kuendelea kuwepo kwenye ligi kuu ya NBC msimu wa 2023/24 baada ya kuipasua klabu ya Singida Big Stars leo katika mchezo uliopigwa katika dimba …

Soma zaidi
Messi Kurejea Kesho Dhidi ya Ajaccio
Ligue 1

Staa wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa na mchezaji bora wa dunia mara saba Lionel Messi kurejea kesho kwenye mchezo wa ligi kuu ya Ufaransa dhidi ya klabu ya …

Soma zaidi
Haaland Mchezaji Bora wa Mwezi Aprili Epl
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Earling Haaland amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa nne kwenye ligi kuu ya Uingereza baada ya kua na kiwango bora zaidi …

Soma zaidi
Tuchel Athibitisha Bayern Wanahitaji Mshambuliaji
Bundesliga

Kocha wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Tuchel amethibitisha klabu yake inahitaji mshambuliaji mwenye kiwango cha dunia kutokana na kauli ambayo ameitoa mapema leo akizungumza na wanahabari. Kocha Tuchel …

Soma zaidi
Mohamed Hussein Ahusishwa Kuondoka Simba
SOKA LA BONGO

Beki wa kushoto wa klabu ya Simba na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mohamed Hussein taarifa zinaeleza beki huyo anaweza kutimka ndani ya klabu hiyo aliyoitumikia kwa muda …

Soma zaidi
PSG Kumsajili Diaby Kama Mbadala wa Messi
Daily News

Klabu ya Paris Saint-Germain inaripotiwa kuwa na matumaini ya kuipiku Arsenal katika usajili wa mchezaji Moussa Diaby kama mbadala wa Lionel Messi. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …

Soma zaidi
Mourinho: Sifa Zote Ziende kwa Wachezaji wa Roma
Europa League

Jose Mourinho ametoa sifa nyingi kwa wachezaji wake wa Roma na haswa mfungaji wa bao Edoardo Bove baada ya ushindi wa nusu fainali ya Ligi ya Europa dhidi ya Bayer …

Soma zaidi
1 2 3 506 507 508 509 510 511 512 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.