KMC Atatoboa Leo Mbele ya Singida Big Stars?
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara inaendelea kwa michezo miwili ambapo mechi ya mapema saa 10:00 jioni itakuwa ni kati ya KMC dhidi ya Singida Big Stars.   Mechi hiyo …

Soma zaidi
Ulimboka Mwakingwe, Kitumbo Wafungiwa na TFF
SOKA LA BONGO

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la soka nchini TFF imewafungia maisha kutojihusisha na shughuli za mpira wa miguu Ulimboka Mwakingwe aliyekuwa kocha wa Fountain Gate FC na Yusuph Kitumbo aliyekuwa …

Soma zaidi
OPAH ANARUDI ZAKE BONGO
SOKA LA BONGO

MUDA wowote kuanzia sasa mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania anayecheza katika klabu ya Beskitas ya Ligi Kuu Uturuki Opah Clement atarejea Bongo baada ya ligi yao kumalizika. Opah alicheza mechi …

Soma zaidi
MASAKA KILA KITU POA SWEEDEN
SOKA LA BONGO

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania anayecheza kwenye klabu ya Ligi Kuu Sweeden BK Hacken Aisha Masaka anasema anashukuru Mungu kuwa kila kitu kinakwenda sawa kwenye maisha yake ya Ulaya. Hivi …

Soma zaidi
JENTRIX: SINA UHAKIKA WA KUWA MFUNGAJI BORA
SOKA LA BONGO

KINARA wa mabao Ligi Kuu Wanawake Bara Mkenya, Jentrix Shikangwa amesema kuwa hana uhakika wa kumaliza ligi akiwa na mabao mengi zaidi ya mchezaji mwingine. Shikangwa anasema bado ligi inaisha …

Soma zaidi
Simeone Inzaghi Awaonya Vijana Wake Baada ya Ushindi
News

Kocha wa klabu ya Inter Milan Simeone Inzaghi amewaonya wachezaji baada ya ushindi wa mabao mawili kwa bila katika mchezo wa nusu fainali wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya …

Soma zaidi
Inter Milan Yatawala Timu Bora ya Wiki Uefa
Champions League

Klabu ya Inter Milan imetawala timu bora ya wiki ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya yaani Uefa Champions League baada ya michezo ya nusu fainali kupigwa ndani ya …

Soma zaidi
Manchester United Yamfukuzia Lautaro Martinez
Daily News

Klabu ya Manchester United inataarifiwa inamfuatilia kwa karibu mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayekipiga klabu ya Inter Milan ya nchini Italia Lautaro Martinez ili waweze kumsajili katika dirisha lijalo. Lautaro …

Soma zaidi
Ramsdale Bado Yupo Sana Arsenal
Daily News

Golikipa wa Arsenal raia wa kimataifa wa Uingereza Aron Ramsdale yupo bado sana ndani ya klabu hiyo baada ya taarifa kueleza kua yupo mbioni kusaini mkataba mpya ambao utamuweka klabuni …

Soma zaidi
Napoli Wapo Kwenye Mazungumzo na Mchezaji wa Japan Kamada
Daily News

Napoli wanajiandaa kwa dirisha jingine muhimu la uhamisho wa majira ya kiangazi na wanatafuta kumsajili kiungo wa Eintracht Frankfurt Daichi Kamada kwa uhamisho wa bure.   Mafanikio ya Napoli ya …

Soma zaidi
1 2 3 507 508 509 510 511 512 513 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.