Pep Guardiola Aipongeza Man City Mchezo na Real Madrid
Daily News

Pep Guardiola aliipongeza timu yake ya Man City kwa kuonesha kiwango kizuri kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Real Madrid kwenye Uwanja wa Santiago …

Soma zaidi
Arsenal Wako Tayari Kumuuza Granit Xhaka Msimu Huu
Daily News

Washika mtutu wa London Arsenal wamehusishwa na majina kadhaa ya kiungo huku Mikel Arteta akitafuta wachezaji wapya kwenye dirisha la usajili wa majira ya joto. Odds kubwa za soka unazipata …

Soma zaidi
Giroud: “Milan ni Klabu Kubwa na Inastahili Kucheza Fainali ya Ligi ya Mabingwa”
Champions League

Olivier Giroud anafurahia matarajio ya kucheza katika nusu fainali nyingine ya Ligi ya Mabingwa, na anatumai kuwa Milan wanaweza kufikia mambo makubwa watakapomenyana na Inter ugenini San Siro kesho usiku. …

Soma zaidi
Inzaghi: “Inter Haina Wasiwasi na Leao na Haitaikwepa Milan Kwenye Ligi ya Mabingwa”
Champions League

Simone Inzaghi amesisitiza kuwa Inter haitaonyesha hofu yoyote dhidi ya Milan katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, utakaofanyika kwenye Uwanja wa San Siro Jumatano usiku.   …

Soma zaidi
Toure Anaamini Kuwa ni Suala la Muda tu City Kushinda Ligi ya Mabingwa
Champions League

Beki wa zamani wa City Kolo Toure ambaye aliichezea City kati ya 2009 na 2013, amesema kuwa ni suala la muda tu hadi Manchester City washinde Ligi ya Mabingwa Ulaya …

Soma zaidi
Ward-Prowse Anajua Southampton Wako Ukingoni Kushuka Daraja
Daily News

James Ward-Prowse anajua jinsi masaibu ya Southampton yalivyo mabaya baada ya kichapo cha 4-3 kutoka kwa Nottingham Forest kuwaacha wakitazamia kushuka daraja kwa Ligi ya Uingereza.   Southampton walikuwa kwenye …

Soma zaidi
Capello Aitaja City Kuwa Ndiyo Timu Bora Zaidi Duniani
Daily News

Fabio Capello anaamini kuwa Manchester City ni timu bora zaidi duniani huku vijana wa Pep Guardiola wakijiandaa kwa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid leo.   …

Soma zaidi
Guardiola: City Haina Motisha ya Kulipiza Kisasi Katika Mechi ya Leo Dhidi ya Madrid
Champions League

Pep Guardiola amesisitiza kulipiza kisasi sio motisha yake wakati akiitayarisha Manchester City kwa mechi yao ya mkondo wa kwanza ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid. …

Soma zaidi
Southampton Inakaribia Kushuka Daraja Msimu Huu
Daily News

Kocha mkuu wa Southampton Ruben Selles hajui mustakabali utakuwaje baada ya kichapo cha 4-3 dhidi ya Nottingham Forest kilichowaacha kwenye ukingo wa kushuka daraja.   Saints walikuwa kwenye upande mbaya …

Soma zaidi
Chelsea Wanaweza Kumtumia Christian Pulisic Kumnasa Victor Osimhen
Daily News

Christian Pulisic mwenye miaka 24, ni mmoja wa nyota ambao huenda wakaondolewa na Chelsea msimu huu wa joto huku gazeti la Daily Mail likisema anaweza kutumiwa kuvutia jina jingine kubwa …

Soma zaidi
1 2 3 509 510 511 512 513 514 515 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.