Inter Yapokea Kichapo Kutoka kwa Mabingwa Napoli
Serie A nayo ilikuwa ya moto sana wikendi hii kueleka mwaisho wa msimu ambapo, Inter Milan walirudishwa chini baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa, wakiangukia kwenye kichapo cha …
Madrid Yashindwa Yachapika Ugenini, Huku Vini Akipewa Kadi Nyekundu
Wiki imezidi kuwa mbaya ya Real Madrid baada ya kupoteza mchezo wa jana kwa bao 1-0 wakiwa ugenini dhidi ya Valencia ambao wanashikilia nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi …
Dortmund Wanahitaji Ushindi Mmoja Pekee Kumaliza Ubabe wa Bayern
Borussia Dortmund wanahitaji ushindi mmoja kunyakua taji la Bundesliga baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Augsburg. Kupoteza kwa Bayern Munich kwa Leipzig siku ya Jumamosi kulifungua milango kwa …
Chama Afungiwa Mechi 3 na Faini Juu
Kamati ya Uendeshaji na usimamizi wa ligi ya bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Mei 19 2023, ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na …
Liverpool Inakaribia Kuipiku Chelsea Kumsajili Mac Allister
Liverpool wamepiga hatua kukaribia kumsajili kiungo wa Brighton Alexis Mac Allister huku mwanahabari Gaston Edul akidai kuwa Jogoo wamepambana na ushindani kutoka kwa Chelsea kumpata mshindi huyo wa Kombe la …
Liverpool na MacAllister ni Suala la Muda Tu
Klabu ya Liverpool na kiungo wa kimataifa wa Argentina anayekipiga klabu ya Brighton Hove and Albion kila kitu kipo sawa ni suala la muda tu kiungo huyo kujiunga na Vijogoo …
Mbeumo Afurahia Kuiinua Brentford Baada ya Toney Kukosekana
Bryan Mbeumo amefurahi kuiinua Brentford kwa kukosekana kwa Ivan Toney katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Tottenham jana. The Bees hawakuwa na mshambuliaji Toney mwenye mabao 20, ambaye …
Neves Anaweza Kuondoka Wolves Huku Akitaka Kucheza Ligi ya Mabingwa
Ruben Neves anakiri kuwa anataka kucheza Ligi ya Mabingwa na anakabiliwa na uamuzi mgumu kuhusu mustakabali wake wa Wolves. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 26 anatarajiwa kuondoka Molineux …
Lampard Atetea Uamuzi wa Chukwuemeka
Frank Lampard ametetea uamuzi wa Chelsea wa kutomruhusu Carney Chukwuemeka kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza chini ya miaka 20 kwa ajili ya Kombe la Dunia nchini …
Pep: “City Lazima Washinde Mataji Kadhaa ya Ulaya Ili Kuwa Miongoni Mwa Wababe”
Pep Guardiola anakubali kwamba timu yake ya Manchester City lazima sio tu ishinde Ligi ya Mabingwa, lakini ifanye hivyo zaidi ya mara moja ili kuonekana miongoni mwa vigogo. Kocha …

