Marotta: “Hakuna Sababu ya Inter Kutoendelea na Inzaghi”
Mkuu wa Inter, Beppe Marotta ana uhakika ‘hakuna sababu ya kutoendelea’ na Simone Inzaghi na lazima waangalie Ligi ya Mabingwa akilini mwao kwasasa baada ya kuchukua Coppa Italia. The …
Di Maria Anakaribia Kuondoka Juventus
Kwa mujibu wa Romeo Agresti, Juventus wameamua kutomuongezea mkataba Angel Di Maria, hivyo msafara wa Muajentina huyo tayari unatathmini uwezekano wa kuondoka klabuni hapo. El Fideo alisaini mkataba wa …
Graham Potter Kurejea Nice ya Ufaransa
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Chelsea Graham Potter anaripotiwa kurejea kwenye uongozi katika klabu ya Nice ya Ligue 1. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi mbalimbali. Potter …
Madrid Ilimuunga Mkono Vinicius Kabla ya Ushindi Dhidi ya Rayo Vallecano
Bao la Rodrygo dakika ya 89 liliifanya Real Madrid kurejea katika njia ya ushindi baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Rayo Vallecano wa katikati mwa msimamo Uwanja wa Bernabeu. …
Simba Yashusha Chuma Kipya
Baada ya kuukosa ubingwa wa Ligi kuu bara, Simba SC imeanza kujiandaa na msimu ujao haswa katika upande wausajili wa wachezaji wapya. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Southgate Amuunga Mkono Sterling Apone Haraka
Gareth Southgate amemuunga mkono Raheem Sterling kupona msimu wake wa kutisha baada ya kumuacha nje ya kikosi chake cha hivi punde cha Uingereza. Mshambuliaji huyo wa Chelsea atakosa mechi …
Andres Iniesta Abwaga Manyanga Japan
Kiungo Andres Iniesta, ambaye alishinda Kombe la Dunia akiwa na Hispania mwaka 2010 na mataji manne ya Ligi ya Mabingwa na mataji tisa ya LaLiga akiwa na Barcelona, ameripotiwa kuondoka …
PSG na Chelsea Wapigania Mchezaji
PSG na Chelsea wanagombania kumsajili nyota wa Sporting Lisbon, Manuel Ugarte, huku mabingwa hao wa Ufaransa PSG wakiwa mstari wa mbele kuinasa saini ya mchezaji huyo. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet …
Lopetegui Haombi “Usajili wa Kutishia”
Kocha wa Wolves Julen Lopetegui anataka ufafanuzi kuhusu mipango ya uhamisho wa klabu hiyo msimu huu wa joto huku kukiwa na mashaka juu ya mustakabali wake katika klabu hiyo baada …
Mason Mount Aibukia Manchester United
Mchezaji wa Chelsea Mason Mount ameonesha nia ya kuondoka katika viunga vya Stamford Bridge, huku ripoti zikieleza huenda akajiunga na mashetani wekundu wa Jiji la Manchester. ukiwa na meridianbet unapata …

