Mshambuliaji wa Inter Kukosa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Kufuatia Jeraha Jipya
Serie A

Mshambuliaji wa Inter Joaquin Correa yuko shakani kukosa Fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Manchester City kufuatia jeraha la misuli.   La Gazzetta dello Sport limeripoti kuwa Correa alipata …

Soma zaidi
Leao: “Thiago Silva Ndiye Beki Mgumu Zaidi Kuwahi Kukutana Naye”
Daily News

Rafael Leao anakiri kwamba mlinzi wa Chelsea na nyota wa zamani wa Milan Thiago Silva ndiye mpinzani mgumu zaidi kuwahi kukutana naye na anaeleza kwa nini yeye hutabasamu kila mara …

Soma zaidi
De Zerbi Anajiandaa Kujenga Kikosi cha Brighton Majira ya Joto
Daily News

Roberto De Zerbi anaandaliwa kwa ajili ya majira ya joto ya kazi ngumu huku Brighton inayoshiriki Ligi ya Europa ikipania kuunda kikosi chenye uwezo wa kushindana katika nyanja nne.   …

Soma zaidi
Mourinho Afichua Kuwa Spurs ni Klabu Pekee Ambayo Hana Hisia Nayo Sasa
Daily News

Jose Mourinho amedai Tottenham ndio klabu yake pekee ya zamani ambayo hana uhusiano wowote nayo.   Mreno huyo mwenye miaka 60, alikaa kwa miezi 17 Spurs lakini alitimuliwa na mwenyekiti …

Soma zaidi
Salah: “Hakuna Kisingizio kwa Liver Kukosa Ligi ya Mabingwa”
Daily News

Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, anasisitiza kwamba hakuwezi kuwa na kisingizio cha kukosa kucheza Ligi ya Mabingwa.   Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 anakiri kuwa timu hiyo imeshindwa …

Soma zaidi
Haaland Analenga Kumaliza Msimu Mzuri wa Kwanza kwa Kushinda Treble
Daily News

Erling Haaland ameweka malengo yake kwenye historia huku Manchester City ikifukuzia kushinda Treble msimu huu.   Mshambuliaji huyo alisalia kuangazia fainali za City huku akitwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa …

Soma zaidi
Alonso Anawindwa na PSG
Ligue 1

Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen na gwiji wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Liverpool, na Bayern Munich Xabi Alonso amekua kwenye rada za mabingwa wa Ufaransa klabu ya …

Soma zaidi
Dalot Mbioni Kusaini Mkataba Mpya
Daily News

Beki wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Ureno Diogo Dalot yuko mbioni kusaini mkataba mpya wa kuitumikia klabu hiyo ikiwa ni baada ya mazungumzo ya kina baada …

Soma zaidi
Luke Shaw: Kutwaa Ubingwa EPL & UCL Msimu Ujao
Daily News

Luke Shaw anasema Manchester United inalenga kutwaa ubingwa wa Premiere League na Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Mashetani Wekundu …

Soma zaidi
Zhang Anakuwa Rais wa 3 Mwenye Mafanikio Zaidi
Serie A

Rais wa Inter Steven Zhang ndiye Rais wa tatu mwenye mafanikio zaidi katika historia ya klabu hiyo, akiwa amejikusanyia kipande chake cha tano cha fedha kwenye usukani.   The Nerazzurri …

Soma zaidi
1 2 3 497 498 499 500 501 502 503 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.