AZAM FC Wapo Kwenye Dozi Nzito
SOKA LA BONGO

MASTAA wa Azam FC wameendelea na program maalumu kwa ajili ya kuwakabili wapizani wao Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye mchezo wao ujao wa ligi. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika …

Soma zaidi
Sevilla vs AS Roma Europa League Rekodi Ziko Hivi
Daily News

Hatimaye imefika usiku wa deni haukawii kukucha, Fainali ya Europa League ni usiku wa leo kati ya mabingwa mara nyingi zaidi Sevilla vs AS Roma ya Italia inayonolewa na Kocha …

Soma zaidi
Van Der Sar Atimka Ajax
Daily News

Edwin Van Der Sar  amejiuzulu nafasi yake kama mkurugenzi mkuu mtendaji wa klabu ya Ajax Amsterdam mapema leo na hii imetokea baada ya gwiji huyo kuitumikia klabu hiyo kwa miaka …

Soma zaidi
Pavard Mbioni Kutimka Bayern Munich
Bundesliga

Beki wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa Benjamin Pavard yuko mbioni kutimka klabuni hapo baada ya taarifa kudai hana mpango wa kusaini mkataba mpya na …

Soma zaidi
Joao Felix Kurejea Atletico
Daily News

Winga Joao Felix raia wa kimataifa wa Ureno ambaye alikua akiitumikia klabu ya Chelsea kwa mkopo akitokea klabu ya Atletico Madrid kutoka nchini Hispania imeelezwa atarejea kwenye klabu yake hiyo …

Soma zaidi
Real Madrid Yamgeukia Kane
La Liga

Klabu ya Real Madrid imeanza kumtolea macho mshambuliaji wa klabu ya Tottenham na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane kama mbadala wa mshambuliaji wake Karim Benzema. Real …

Soma zaidi
Benzema Hatihati Kutimka Real Madrid
La Liga

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema inaelezwa kua yuko kwenye hatihati ya kutimka ndani ya timu hiyo kipindi cha majira ya joto ya …

Soma zaidi
Chelsea Yamtangaza Pochettino Kuwa Kocha Wao Msimu Ujao
Daily News

Chelsea wamemthibitisha kocha wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino kuwa meneja wao ajaye.   Pochettino mwenye miaka 51, atachukua mikoba ya Stamford Bridge msimu huu wa joto baada ya kukubali …

Soma zaidi
Chama: Mabadiliko ya Kikosi Yametuponza Msimu Huu
SOKA LA BONGO

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba Clatous Chota Chama amefunguka sababu kubwa ambayo imefanya wapotee msimu huu na kusababisha wakose kila kitu.   Chama ambaye anawania tuzo kadhaa msimu huu …

Soma zaidi
Kocha USM Alger Alia na Refa
SOKA LA BONGO

  Kocha wa Klabu ya USM Alger Abdul Benchikha alisema wazi kuwa licha ya kuwa timu yake kupata ushindi wa mabao 2-1 ugenini mbele ya Yanga, ila kuna vitu hakuridhishwa …

Soma zaidi
1 2 3 494 495 496 497 498 499 500 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.