Spalletti Ashinda Tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka wa Serie A
Luciano Spalletti ameteuliwa kuwa Kocha Bora wa Serie A wa Msimu baada ya kuiongoza Napoli kutwaa taji lao la kwanza la Scudetto katika kipindi cha miaka 33, na la kwanza …
Juventus Lazima Watafute Vilabu Vipya kwa Arthur Melo na Zakaria
Wakala wa Arthur Melo amethibitisha kuwa hatabaki Liverpool, lakini pia hayuko kwenye mipango ya Juventus, wakati Denis Zakaria pia anarejea kutoka Chelsea. Bianconeri wako kwenye majira ya joto yenye …
Manchester United Yaingia Vitani Kumuwania Rice
Klabu ya Manchester United imeingia vitani kwajili ya kiungo wa kimataifa wa Uingereza anayekipiga klabu ya West Ham United Declan Rice ambapo anawaniwa na vilabu kadhaa nchini humo. Taarifa zinaeleza …
Marco Asensio Huyoo PSG
Kiungo wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Hispania Marco Asensio anatarajiwa kujiunga na mabingwa wa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG baada ya klabu hiyo kuonesha …
Mount Anaitaka Man United
Taarifa za ndani zinaeleza kiungo wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Uingereza Mason Mount anataka kujiunga na klabu ya Manchester United katika dirisha kubwa majira haya ya …
UEFA Wanachunguza Tukio la Jose Mourinho
UEFA inasubiri ripoti za afisa wa mechi kabla ya kuamua kuchukua hatua dhidi ya Jose Mourinho kwa kosa lake dhidi ya mwamuzi Anthony Taylor baada ya Roma kupoteza katika fainali …
Namungo Hesabu Zao Zimekaa Hivi
KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi …
Robertinho: Simba Mpya Inakuja
ROBERT Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anahitaji maboresho zaidi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani ndani ya timu hiyo. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi …
Feisal Ataja Sababu za Kuondoka Yanga
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ameweka wazi kuwa hana tatizo na Yanga bali kuna masuala ambayo amekuwa akifanyiwa na viongozi hayapendi. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds …
Sadio Kanoute Agoma Kurudi Simba, Sababu Zatajwa
Taarifa kutoka Nchini Mali zimethibitisha kuwa Kiungo Mkabaji anayemaliza Mkataba wake mwishoni mwa Msimu huu Ndani ya Simba SC, Sadio Kanoute ‘Puttin‘ amegoma kurejea Tanzania kwa ajili ya mazungmumzo ya …

