Tanzania Kucheza na Kongo Kufuzu Olimpiki 2024
TANZANIA (Twiga Stars) itaanza na Kongo katika Raundi ya Kwanza ya mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Michezo ya Olimpiki ya Wanawake (WOFT) Paris 2024 nchini Ufaransa. Tembelea …
Man Utd Kumlipa Maguire £ 10m Watakapo Muacha
Harry Maguire anaripotiwa kulipwa paundi milioni 10 iwapo ataondoka Manchester United msimu huu wa joto. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi mbalimbali. Kwa mujibu wa Mail, fainali …
Jose Mourinho Anaswa Akimtolea Maneno Refa Nje ya Uwanja
Kocha wa AS Roma Jose Mourinho alikabiliana na mwamuzi wa Uingereza Anthony Taylor kwenye maegesho ya magari baada ya mechi kuisha na Roma kufungwa katika fainali ya Ligi ya Europa …
Mason Mount Afikia Makubaliano Binafsi na Man Utd
Mason Mount anakaribia kujiunga na Manchester United akitokea Chelsea baada ya kuafikiana na masharti ya kibinafsi. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi mbalimbali. Kwa takribani wiki moja …
Feitoto Aelezea Maisha Yake| Yanga Walinisajili kwa Tsh 10m tu.
Kiungo wa mpira Feisal Salum Feitoto ameelezea safari yake ya soka ilipoanzia hadi kujiunga na klabu ya Yanga ambayo kwa sasa hawana maelewani mazuri kwa sababu za kimkataba. Pata odds …
Kovacic Kutimkia Man City
Kiungo wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Croatia Matteo Kovacic inaelezwa yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Manchester City kwajili ya kutimkia klabuni hapo kwenye dirisha hili …
Neves Kutimkia Barcelona
Kiungo wa kimataifa wa Ureno Ruben Neves anatarjiwa kujiunga na klabu ya Barcelona katika majira haya ya joto baada ya kumaliza msimu na klabu yake ya Wolverhampton inayoshiriki ligi kuu …
Dalot Yupo Man United Mpaka 2028
Beki wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ureno Diogo Dalot amefanikiwa kukamilisha dili lake la kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo utakaomuweka klabuni hapo mpaka …
USM Alger Waishutumu Yanga Kupulizia Dawa Vyumbani
KLABU ya Union Sportive Madiana D’Alger kifupi USM Alger wameandika malalamiko yao kuhusu shutuma za vyumba vya kubadilishia nguo kupulizwa dawa, kwenye mchezo wa fainali ya kwanza dhidi ya Yanga …
Mourinho Kufukuzia Taji lake la Sita Ulaya Leo
Kocha wa As Roma raia wa kimataifa wa Ureno Jose Mourinho leo atakua akiiongoza timu hiyo kwenye fainali ya kombe la Uefa Europa League dhidi klabu ya Sevilla akilitafuta taji …

