Fainali Ubingwa wa Wazi wa Taifa Kufanyika Leo
Chimbuko la Vipaji laibua kina Mandonga wapya, huku wachezaji 137 washiriki jumla ya fainali 14 kupigwa Tandale jijini Dar es salaam. Fainali za Mashindano ya Taifa ya Ubingwa wa …
Ten Hag Anasema Kuzuia Ushindi wa City Mara Tatu Sio Motisha ya Ziada
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag anasema kuwa nafasi ya kusimamisha ushindi wa Manchester City mara tatu haitoi motisha ya ziada kuelekea fainali ya Kombe la FA. Macho …
Moutinho na Costa Wanaondoka Wolves Huku Traore Akiwa Kwenye Mazungumzo ya Kubaki
Joao Moutinho na Diego Costa wanatarajiwa kuondoka Wolves wakati kandarasi zao za sasa zikiisha huku Adama Traore akiwa bado kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba. Mkurugenzi wa michezo wa klabu …
Guardiola Amesema Wachezaji wake Watajitolea Kila Kitu Kushinda Kombe la FA
Pep Guardiola amewaahidi mashabiki wa Manchester City timu yake “itatoa kila kitu” kuwashinda wapinzani wao Manchester United kwenye fainali ya Kombe la FA hii leo. Vilabu majirani vinapambana katika …
Ramos Ametangaza Kuondoka PSG Msimu Huu wa Joto
Sergio Ramos atamfuata Lionel Messi kutoka Paris St Germain huku mabingwa hao wa Ufaransa wakithibitisha kuondoka kwa beki huyo mkongwe wa Uhispania mwishoni mwa kandarasi yake. Ramos amekaa kwa …
Kvaratskhelia Mchezaji Bora Serie A
Winga wa klabu ya Napoli na timu ya taifa ya Georgia Khvicha Kvaratskhelia ametangazwa kua mchezaji bora wa ligi kuu ya Italia msimu huu maarufu kama Serie A. Kvaratskhelia amekua …
Real Madrid inamfukuzia Kai Havertz
Klabu ya Real Madrid inamfukuzia mchezaji wa Chelsea raia wa kimataifa wa Ujerumani Kai Havertz katika dirisha hili kubwa majira ya joto ili kuhakikisha wanaimarisha kikosi chao katika safu ya …
Mourinho Ashtakiwa na UEFA kwa Kumkosoa Mwamuzi Taylor
Jose Mourinho ameshtakiwa na UEFA kwa kumkosoa mwamuzi Anthony Taylor kufuatia kushindwa kwa Roma katika fainali ya Ligi ya Europa dhidi ya Sevilla mjini Budapest Jumatano. Picha za video …
Guardiola: Man United imepata Kocha Mzuri kwa Miaka Mingi
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amesema kua klabu ya Manchester United imepata kocha mzuri ambaye watakua nae kwa muda mrefu ambaye ni kocha raia wa Uholanzi Erik …
Guardiola Apunguza Wasiwasi Kuhusu Utimamu wa Wachezaji Wake Kabla ya Fainali ya Kombe la FA
Pep Guardiola amepunguza wasiwasi kuhusu utimamu wa wachezaji kadhaa muhimu wa Manchester City kabla ya fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester United hapo kesho. Jack Grealish, Kevin …

