Rafael Leao Ajitia Kitanzi Milan
Winga wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Ac Milan inayoshiriki ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A Rafael Leao amejitia kitanzi ndani ya klabu hiyo mpaka mwaka …
Lingard Apigwa Shoka Nottingham Forest
Jesse Lingard anaongoza orodha ya nyota sita waandamizi ambao hawataongezewa kandarasi zao na Nottingham Forest. Kiungo huyo wa zamani wa Manchester United mwenye miaka 30, aliwasili kwenye Uwanja wa …
Nzonzi: “Messi Hana Chochote cha Kuthibitisha na Atakuwa Bora Ligi ya Saudi Arabia”
Steven Nzonzi amesema kuwa, Lionel Messi hana chochote cha kuthibitisha katika maisha yake ya soka na kuna na mengi ya yeye kupenda kuhusu kucheza nchini Saudi Arabia. Huku muda …
Haaland: Kushinda Treble na City Itakuwa Ndoto Yangu Kubwa
Erling Haaland anasema Treble ya kihistoria akiwa na Manchester City itakuwa “ndoto yake kubwa” na anatumai kutimiza kusudi lake na kusaidia kufanikisha Ligi ya Mabingwa. Kikosi cha Pep Guardiola …
Outtara Aanza Tizi Simba SC
BEKI wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba ambaye amekuwa nje ya uwanja kwa muda Mohamed Ouattara hatimaye ameanza mazoezi. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi …
Nabi Afunguka Sababu ya Yanga Kufungwa Magoli ya Faulo
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kufungwa kwa timu hiyo kutokana na mipira ya adhabu ni sehemu ya mpira. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi …
Simba Waanza Dozi Kuimaliza Coastal, Polisi
MECHI mbili zimebaki kwa Simba kukamilisha ndani ya msimu wa 2022/23 ikiwa ni dakika 180. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Simba SC ipo nafasi ya …
Ajax Inawinda Kocha Mpya Baada ya Kumwachilia Heitinga
Ajax wanatafuta kocha mkuu mpya baada ya kumwachilia John Heitinga msimu huu wa 2022/2023. Beki wa zamani wa Everton Heitinga mwenye miaka 39, alichukua nafasi ya Alfred Schreuder mwishoni …
Leeds Wanamsaka Kocha Mpya Baada ya Big Sam Kuthibitisha Kuondoka
Leeds wamethibitisha kuwa Sam Allardyce hatakuwa kocha wao msimu ujao baada ya klabu hiyo kushuka daraja kwenye michuano hiyo. Aliyekuwa mkufunzi wa Uingereza Allardyce mwenye miaka 68, alichukua mikoba …
Milan Kutangaza Mkataba wa Rafael Leao Kesho
Ripoti nyingi zinaonyesha Rafael Leao atatangaza kuongeza mkataba mpya na Milan kesho, ingawa ilikubaliwa mwezi uliopita. Wakurugenzi wa vilabu walikuwa wamedokeza mara kwa mara kwamba makubaliano hayo yametimizwa na …

