Kaizer Chiefs Waingilia Dili la Miquisonne

Taarifa kutoka Afrika kusini Zimethibitisha kuwa Klab ya Kaizer Chiefs nayo imeingia kwenye Mbio za kuiwania saini ya Winga Luis Miquissone.

Hapo awali ilifahamika kuwa Luis Miquessone atajiunga na Simba na Makubalino binafsi yalikwisha fikiwa tayari.kaizer chiefsSasa klabu ya Kaizer Chiefs inadaiwa kuingilia Usajili huo huku wakimpa ofa nzuri ya ada Usajili na hata Mshahara wake.

Kwasasa Mchezaji huyo wa kimataifa wa Msumbiji Luís Miquissone anafanya mazoezi katika uwanja wa Desportivo do Tchumene Sport Complex nchini Msumbiji akijiweka fiti huku akisubiri kuamua kuhusu hatma ya klab yake Mpya anayohitaji kwenda.kaizer chiefsKama ni Simba Sc ama Kaizer Chiefs Licha ya kuwa Luis Miquessone Mwenyewe Mapenzi yake yapo Simba ila Wakala wake ndiye anayechelewesha winga huyo kujiunga na klab hiyo ya Simba (Mara nyingi mawakala huangalia pesa zaidi).

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.