Gamondi Aifungukia mechi ya Kaizer Chiefs

Kocha Mkuu Wa Yanga Sc Miguel Gamondi amesema kuwa anajua ukubwa wa siku ya Mwananchi na anaelewa ukubwa wa mechi yao na Kaizer Chiefs.

Akizungumzamara ya kwanza mbele ya waandishi wa habari Gamondi alisema: “Kesho ni siku kubwa kwa Mashabiki wa Young Africans SC pamoja na sisi wote tunakwenda kupata nafasi ya kusherekea kufunguliwa kwa msimu huu mpya tukiwa na matarajio ya kuendelea kuipambania Klabu hii kubwa yenye historia kubwa.

“Kwenye upande wa timu bado tuko kwenye maandalizi, na mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs tutautumia mchezo huo kama sehemu ya maandalizi yetu kwa msimu ujao.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.