LIVERPOOL YAENDELEA KUKAA KILELENI
Makala iliyopita
YANGA WAMEANZA KUGAWA DOZI NENE NBC
Makala ijayo
Allison Becker Apata Majeraha
Diogo Jota ndio mchezaji aliyefunga goli pekee lililowapa alama tatu majogoo wa Anfield katika mchezo huo ambao wenyeji klabu ya Crystal Palace walionekana kuzuia kwa umakini mkubwa katika boksi lao, Huku wakifanya mashambulizi ya kushtukiza katika lango la vijana wa Arne Sloti japo hawakufanikiwa kupata goli.