Namungo Yamsajili Frank Domayo

Klabu ya Namungo siku kadhaaa zilizopita walitangaza Kumuaga rasmi kiungo Mshambuliaji Mohammed Issa Banka lakini Leo wametangaza usajili mpya wa Mkongwe Frank Domayo Chumvi.

 

Namungo Yamsajili Frank Domayo
Namungo wameongeza kiungo mwingine Mwenye uwezo mkubwa wa Kupiga Pasi Kwenye Njia na kurahisisha Kazi ya Washambuliaji kupachika mabao naye si mwingine bali ni Frank Domayo.

Domayo kafanya hiyo kazi katika misimu kadhaaa Kwani tayari ameshafanya akiwa Yanga na Azam na hata timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars anaenda kuungana na Lukasi kikoti ,Jacob Massawe ambao wamekuwa na mchango mkubwa kwa Namungo kupata matokeo ya Ushindi.

Namungo Yamsajili Frank Domayo

Namungo wnaendelea ma mazoezi kwaajili ya mchezo wao unaofuata wa Ligi kuu ambapo watasafiri hadi Tanga kumenyana dhidi ya Wagosi wa Kaya Coastal Union.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.