Robertino Asisitiza Jambo kwa Mastaa Simba

Kocha Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na matokeo ya ushindi lakini amewataka wachezaji wake wacheze soka safi la pasi nyingi wakiwa wanamiliki mpira wao.

Robertino Asisitiza Jambo kwa Mastaa Simba

Simba katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara, walipata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Mtibwa Sugar.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Robertino alisema kuwa, bado vijana wake hawajacheza soka lile ambalo analolitaka, licha ya kupata ushindi mkubwa dhidi ya Mtibwa Sugar.

Robertino alisema kuwa anataka kuona wachezaji wake wakipiga pasi kutokea nyuma kwenda katika goli la wapinzani wao.

Robertino Asisitiza Jambo kwa Mastaa Simba

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Aliongeza kuwa anaamini vijana wake watacheza katika kiwango hicho bora anachokitaka wakati akiendelea kuwapa maelekezo katika uwanja cha mazoezi.

“Ni jukumu la mchezaji hivi kuona timu inafanya umiliki mzuri wa mpira kwa kupiga pasi sambamba na kufunga mabao mengi katika kila mchezo. Tunapata matokeo mazuri, lakini hatupigi pasi nyingi, hivyo tunatakiwa kuwapa burudani mashabiki wetu pamoja na kufunga mabao.”

Naendelea kufanyia kazi hilo katika uwanja cha mazoezi ili wachezaji wangu wafanye kile ambacho ninakitaka mimi,” alisema Robertinho.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.