Atalanta wameshinda michezo 21 kwenye msimu wa sasa wa Serie A, sawa na rekodi yao ya msimu wa 2016/17 kwenye Ligi kuu ya Italia.
Ushindi mechi 21 kwenye mechi 38, lakini msimu huu ni baada ya mechi 33 tu.
Wamefunga mabao 6+ katika mechi Nne tofauti – Ni rekodi katika msimu wa sasa kwenye Ligi kuu tano za Ulaya 2019/20.
Pia wamefunga mabao 4+ katika mechi Nane msimu huu.

Atalanta ni moja ya timu mbili ambazo zimefanikiwa kufunga jumla ya mabao angalau 93+ katika msimu mmoja wa Serie A katika miaka 60 iliyopita
Pia Napoli mnamo msimu wa 2016/17 (94 katika mechi 38).
Atalanta wamefunga mabao 93 msimu huu baada ya mechi 33 tu kati ya 38 za msimu.
Ni timu tatu tu katika Historia zimefunga mabao zaidi yao baada ya kucheza mechi 33 katika Serie A.
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
Adelta
Habari njema
Johnmary joel
Taarifa nzuri hizi#meridianbett
Magdalena
Pongezi nyingi kwao
Lydia Emmanuel Magoti
Habari njema
Franky
Good news
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema hizo
Dorophina
Ongera kwao atalanta
Ernest
Binafsi nawaona Atalanta wakifanya makubwa kwenye ulimwengu wa soka siku za hivi usoni.
Ester jackson
Safii sana
Fatuma kasomo
Safi ongera atalanta
Aziza mushi
Safi Sana atalantaa.
aisha
Wanasitahili pongezi sana
MnonganeJR
Bigup Atalanta#meridianbettz
Khadija
hongera sana Atalanta#meridianbettz
caroline
safi sana
Samiah
Safi sanaaa
Angelina
Hongera atalanta
Njiku
Atalanta wanajituma sana safii kwao
christopher
Hongera yao Atlanta wazee wa 4+ hapo
Furahav
Hii Atalanta iko vizuri sasa.
Gabriel
Habar njema sana 👍
Samira
Good news
farida ahmadi
Hongera Sana Atalanta
lombo
saf
devotha
hongera sana atalanta
Povel tz
Habar njema
sabrina
Hongera kwao
Amiri Kayera
Wapo on fire
Ester mmakasa
Hongera sana kwao.
Omary lukumbi
Msimu huu walikua kwenye kiwango bora sana
Janeflora malisa
Ni vzr
Edgar
Wapo vizuri na habari njema kwa mashabiki
Saupha mohamed
Habari njema
Revina
Atalanta sio wa mchezo mchezo ni haki yao kuweka rekodi
Salma
Habari njema sana
Theckla
Atalanta wako vizuri Sana
David Pere
Uzuri wa Atalanta wamewekeza Sana Ndio maana wameweka Record nzuri msimu huu
mwakalosi
hawa jamaa wamekuwa wa moto sana huu msimu ukiingia unakula nyingi
Sadick
Kuna mchambuzi amesema wakamalia wana msemo wao kwamba ukitaka hela ya mboga mkeka wako mpe magoli mengi Atalanta#meridianbettz
felister
Atalanta ni moja Kati ya timu mbili ambazo zimefanikiwa kufunga angalau magoli 93+
Mwanahamisi
Safi sana
Zeiyana
Atalanta wamekua na molali hivi karibuni
Rehema
Pongezi nyingi sana kwao
devotha
habari njema
Shafii
Gud news kwao.
Hope mwaikuka
Wametisha
Asia Abdy
Wanastahil
Neema juma
Makala safiii
warda
Wako poa sana#Meridianbettz