Mabadiliko yaani Substitutions 5 zitaweza kuendeleaTimu zitaweza kuendelea kutumika kwenye mechi moja hadi mwisho wa msimu wa 2020/21.
Baada ya shirikisho la soka Duniani “FIFA” kuchagua kuongeza utumizi wa sheria hiyo kutoka Mabadiliko ya Wachezaji watatu tu.
Baraza hilo linaloongoza la mpira wa miguu ulimwenguni linasema sasa ni maamuzi ya Ligi husika Duniani na Mashindano mengine ya Soka kuamua ikiwa wanataka kuendelea kuruhusu kuendelea na sheria hiyo iliyowekwa kuwa ya muda tu.

Kuruhusiwa kwa Mabadiliko hayo sasa inatarajiwa kutumika hadi Agosti 2021, ikimaanisha Mashindano ya UEFA, EURO na Copa America wanaweza kupitisha kufanya Mabadiliko ya Wachezaji watano msimu ujao wa kiangazi.
Uamuzi wa kuongeza idadi ya hiyo ulioruhusiwa kutoka kwa wachezaji Watatu hadi Watano imekuja baada baada ya janga la Coronavirus ili kuwalinda wachezaji kupata majeraha yanayoweza kutokea wakati ligi zilipoanza tena.
Ligi Kuu Bora za Ulaya zote zilichukua sheria hiyo na kuitumia na inatarajiwa kutumika mpaka msimu ujao wa Ligi.
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


aisha
Taarifa njema
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridianbet
Magdalena
Ahsante kwa habari njema #meridianbet
Elika
Ni habari nzuri.pia tuendelee kuomba Mungu atuepushie mbali na hili janga la voronavirus
Tatu
Asante kwa habari nzuri meridian
caroline
tunasubiri ayo mabadiliko jamani
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Ester jackson
Habari njema sana hizi nifuraha sana
Angelina
Goodnews
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa njema
Dorophina
Habari njema kabisa hizi sio kwa kuongezewa huko kwa watu wa kuwasajili
Ernest
FIFA Wamefanya jambo la maana sana kwani kutasaidia baadhi ya wachezaji nao kupata nafasi ya kucheza kwenye timu husika na kuondoa hali ya kukaa bench muda mrefu
Fatuma kasomo
Habari nzuri
Aziza mushi
Habarii njema.
Isaya massawe
Hii itasaidia vilabu kwa kiasi fulani
Samiah
Kwakiasi fulani itasaidia
MnonganeJR
Habari njema kwa wapenda soka#meridianbettz
fatumakasom
Habari njema
Franky
Safi sanaa FIFA ikiwezekana ongezeni ziwe mpaka 6 …
mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
caroline
asnte meridianbett kwa taarifa
Furahav
Itakuwa vizuri.
Adelta
Habari nzuri sana
Njiku
Safii hii pongezi ziende kwa FIFA kwa sababu ya kuwapa nafasi wachezaji wengine kucheza
christopher
Kumbe hii ni Temporaly? mi nilijua ndo imeshapita tayari
Gabriel
Habar njema sana 👍
Samira
Hii haitakiwi kuwa temporary inabidi waipitishe kabisa
farida ahmadi
Mambo mazuri hayoo
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Tahiya
Good news
devotha
mabadiliko 5 inasaidia sana katika mechi
Povel tz
Asante meridian bet tz kwa update za michezo
Wema Urioh
Ni sheria nzuri ningependa iendelee kutumika siku zote#meridianbettz
sabrina
Asante kwa taarifa
Amiri Kayera
Habar njem
Ester mmakasa
Ni habari ya kutia moyo kwa mashabiki.
Omary lukumbi
N habar njema kwa vilabu vyote vya mpira wa miguu na watakao faidika ni wale club yenye kikosi kipana
Edgar
Habari nzuri
Saupha mohamed
Meridian mpo vizuri kwa habari nzuri za michezo
Revina
Safi sana kwa FIFA maana bila wao kuwapa nafasi wachezaji isingekuwa poa
Salma
Habari njema
Theckla
Kwa upande wangu naona itakuwa imekaa vizuri Sana
David Pere
Safi sanaa maana wachezaji wengi watampata nafasi ya kucheza Mara kwa mara
mwakalosi
ni swala muda kabla halijaingizwa kwenye sheria rasmi
Zeiyana
Tuna shukuru sana FIFA kujua thamani ya wachezaji
Sadick
Ingawa lengo lilikuwa kulinda wachezaji wasiumie wakati huu wa Corona lakini ningependa iendelee hata baada ya hapo#meridianbettz
JULIANA
Ikiwa indelevu sawa tu akijaalibika kitu,ni sawa dula kuitwa Abdala
felister
ahsante kwa taarifa
Mwanahamisi
Habari njema
Rehema
Itakuwa vizuri
Asia Abdy
Utaratibu mzur
devotha
asante #meridianbet kwa update za michezo
Shafii
Hii sheria ingekua parmanent ingekaa poa Sana.
Hope mwaikuka
Habar njema
Issa
Ni safi sana fifa
Neema juma
Habari nzuri
warda
Haya sie yetu macho#Meridianbettz