Leo Jumamosi michezo ya Robo fainali ya michuano ya CHAN itaanza kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini Cameroon.
Timu nane za Cameroon, DR Congo, Congo, Mali, Rwanda Zambia, Morocco, Zambia, Morocco na Guinea ndizo zimefuzu kucheza hatua hiyo mwaka huu.
Mchezo wa mapema leo utakua saa 11:00 ambapo Mali na Congo zitakutana kutafuta mshindi atakayefuzu nusu fainali.
Saa 2:00 usiku kwenye kunatarajiwa kupigwa mchezo wa kukata na shoka ambao utawakutanisha DR Congo na wenyeji Cameroon.
Michezo mingine miwili ya robo fainali ya CHAN itachezwa kesho Jumapili ambapo saa 11:00 jioni Morocco watakuwa wakicheza na Zambia na mchezo mwingine utapigwa saa 2:00 usiku kati ya Guinea na Rwanda.
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!
Sania
Kumekucha
Magdalena
Mambo yanazidi kupamba Moto
Adelta
Mambo ni 🔥🔥
Khadija
Hatarii
Caroline
Hongera
Sarah
Sawa
Mwanahamisi
Hongera
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa chan
Zahara Omary
Hongera
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo mazuri hayo
Hopemwaikuka
Haya waendelee tu
Rahmal
Nice
samiah
Nice