Chelsea Wakubali kutoa £90m kwa Havertz.


Klabu ya Chelsea yenye Makazi yake jijini London wameendelea kujiimarisha katika dirisha hili, kwa kukubali kutoa kitita cha £90m kwaajili ya kupata huduma ya kinda Kai Havertz.

Chelsea inasemekana ipo katika hatua ya mwisho ya makubaliano na Bayer Leverkusen juu ya kiungo mshambuliaji wao na wamekubali kulipa du hilo.

 

Chelsea Wakubali kutoa £90m kwa Havertz.

Blues watalipa dau la £72m kumsajili mchezaji huyo mwenye miaka 21, katika viunga vya darajani huku kiasi kinachobaki kitalipwa kama malupulupu.

Mchezaji huyo wa Ujerumani atavunja rekodi ya klabu ya Chelsea na kuwa mchezaji ghali zaidi, akivunja rekodi ya kipa Kepa Arrizabalaga aliyenunuliwa kwa dau la £72m kutoka Athletic Club mwaka 2018.

Havertz alikuwa na makubaliano hayo na klabu hiyo ya Bundasiliga angeondoka kama makubaliano na timu inayomuhitaji yangefikiwa.

 

Chelsea Wakubali kutoa £90m kwa Havertz.

Chelsea wanaendeleza mipango yao ya usajili wakiwa wamekwisha msajili Timo Wener na Hakimi Ziyech, huku wakiwa kwenye radar za kumchukua beki mkongwe Thiago Silva na Chilwell kutoka Leicester City.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

43 Komentara

    Huku havertz kule werner chelsea kweli wanatak ubingwa msimu ujao

    Jibu

    Kijana yuko poa anafaa kwa matumiz

    Jibu

    Msimu ujao kweli Chelsea wana kitu cha kufanya EPL na ligi ya mabingwa.

    Jibu

    Hatimaye Chelsea wamekunjua mkono kumnasa kiungo mahili wa Bayern harvetz imekaa poa sana

    Jibu

    Kama Chelsea deal done msimu ujao Chelsea wanajambo lao 2020/2021

    Jibu

    Kwa usajiri huu wanao ufanya Chelsea inatuonesha zaili mashabiki wake kama wana mpango wa kuirudisha ile Chelsea ya zamani

    Jibu

    Kwer Chelsea walikua na nia

    Jibu

    yuko vzr

    Jibu

    Chelsea hilo jiwe lao wamelenga mahala pake Kai Havertz yuko vizuri

    Jibu

    Chelsea imejipanga msimu ujao itakua vizuri sana

    Jibu

    Naona chelsea inaenda kuwa na modern kama ya bayern kuanzia kati wazuri ila nyuma uchochoro

    Jibu

    Kwa chelsea hii mwakani patachimbika.

    Jibu

    Mchezaji huyo wa Ujerumani atavunja rekodi ya klabu ya Chelsea na kuwa mchezaji ghali zaidi, akivunja rekodi ya kipa Kepa Arrizabalaga aliyenunuliwa kwa dau la £72m kutoka Athletic Club mwaka 2018, nice one havert natumai Chelsea wanaendelea kukiimarisha kikosi mwakani hapatoshi .

    Jibu

    Wako vizuri na hongera kwa hilo.

    Jibu

    Pongezi Sana kwa Chelsea kwa kuongeza nguvu katika kikosi

    Jibu

    Naona chelsea inaenda kuwa na modern kama ya bayern kuanzia kati wazuri ila nyuma uchochoro

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Maoni:itakuwa vizuri akija kutua Chelsea

    Jibu

    Chelsea wamepata mchezaji mzr

    Jibu

    Chelsea watakuwa wamenunua jembe

    Jibu

    Chelsea wamepata jembe imekaa powa sana

    Jibu

    Chelsea kwa msimu huu wamejitahidi sana kwenye usajili

    Jibu

    Chelsea Yuko vizuri wanaendea kuimarisha vikosi vyao @meridianbettz

    Jibu

    Safi Sana nimefurahi ww kwenda Chelsea

    Jibu

    chelsea wajitose wamchukue havertz yupo vizuri sana na ataisaidia sna timu

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    Big up Chelsea mambo ndio haya tunayo yahitaji mashabiki wenu

    Jibu

    Chelsea msimu ujao itakua mbali sana

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Mambo ni moto Darajani

    Jibu

    Pongez kwao Chelsea Mambo mazuri hayo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Usajili umepamba motooo!!!

    Jibu

    Wamejipanga msimu ujao itakua nzuri

    Jibu

    Chelsea hawataki masihara msimu ujao ndani havert akiharibiki kitu hapo

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Chelsea wanepata mchezaji mzr

    Jibu

    chelsea wamepata mchezaji mzuri#meridianbettz

    Jibu

    Safiii sanaa

    Jibu

    Karibu darajani. Chelsea ina tatizo la beki na golikipa nadhangaa imekuwa ikisajiri washambuliaji#meridianbettz

    Jibu

    Chelsea hawataki mchezo safari hii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.