Mendy Amesaini Mkataba Mpya

Leicester City wametangaza Nampalys Mendy amesaini mkataba mpya utakaombakiza katika timu hiyo kwa miaka miwili ijayo.

Nampalys alisajiliwa kwa mkataba wa muda mfupi lakini kufuatia tetesi za Ben Chillwell kutimkia Chelsea, Leicester City wamemuongezea mkataba ili aendelee kusalia kwenye timu hiyo.

Mendy kusalia Leicester City.

” Nimefurahia kufanya kazi na Mendy tangu nimeingia Leicester City. Ninavutiwa nae kila ninapomuona, kwahiyo nimefurahi kuongeza kwake mkataba wa kuendelea kuweko hapa kwasababu anakazi kubwa ya kutekeleza.” amesema Kocha wa Leicester City – Brendan Rodgers.

“Kuwa na mtu mwenye uzoefu wake, uwezo na akili ni jambo kubwa kwetu ukizingatia tunamichuano ya Ulaya msimu ujao.

“Kwangu ni mtu wa daraja la kwanza na amefanya vizuri kila anapopata nafasi hivyo nimefurahi kwa yeye kuendelea kuwa sehemu wa hiki tunachokitengeneza Leicester City.”

Taarifa mbalimbali zinaripoti uwezekano wa James Maddison kufuata nyayo za Mendy kwa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Leicester City. Wakati huohuo, inasemekana Ben Chillwell yupo mbioni kujiunga na Chelsea.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

 

44 Komentara

    Habar njema kwa mashabik wa lecestery city vle vle gud update kwake kwa kuendeleah kusalia kwny kikos hcho

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Safi sana mendy kwa kuitumikia klabu yake tena

    Jibu

    Kwa raha zake

    Jibu

    Ni jambo zuri Sana kwa kusalia hapo.

    Jibu

    Nampalys Mendy bado ananafasi nzur sana ya kuendelea kuchezea club ya Leicester City.

    Jibu

    Jamb amekua msaada msim uliopt

    Jibu

    nice

    Jibu

    Hongera sana Nampalys Mendy kwa kuendelea kusalia Leicester city

    Jibu

    Team hii msimu ujuo watakuwa wamoto sana

    Jibu

    Mendy alistahili hili kutoka katika club big up

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa mashabiki wake.

    Jibu

    Hingera sana.

    Jibu

    Gud news kwa mashabiki hongera Sana kwa kuendelea kusalia hapo mendly.

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Amefanya Jambo jema

    Jibu

    Nampalys Mendy bado ananafasi nzur sana ya kuendelea kuchezea club ya Leicester City.

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Maoni:vizuri bado kiwango chake kipo vizuri

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

    Ni vizuri kocha kama kocha kugambua humuhimu wa mchezaji wake..!kwa kuangalia ni kweli Mendy amefanya kazi kubwa sana pale Leicester city

    Jibu

    Hongera sana meddy kwa kusaini mkataba mpya

    Jibu

    Good @meridianbettz

    Jibu

    Leicester city wameamua kusajili Mendy beki mwenye kujituma

    Jibu

    Leicester wamefanya jambo LA maana sana kumsajili Uyu mwamba yupo vizuri sana

    Jibu

    leicester wamefanya jambo jema sana kumbakisha uyo mwamba maana bado anamchango mkubwa sana katika timu

    Jibu

    Congrats Mendy

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

    Good

    Jibu

    Mendy ni mtu mwenye akili mzoefu na uwezo hongera kwa kuongeza mkataba

    Jibu

    Good

    Jibu

    Hongera yake Mendy mpambanaji anajua pongez kwake kwakuongeza mkataba

    Jibu

    Wakati wake sasa Mendy kupambana na kuhakikisha anapata deal kubwa zaidi huko mbeleni

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Pongezi kwako!!!

    Jibu

    ni mwendo wa kupiga mtonyo tu

    Jibu

    Kila lakheri kwake kwa kubakia kwenye kikosi chake haendelee kutoa suport kwenye kikosi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    safi sana medy#meridianbettz

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Vizuriii

    Jibu

    Miaka ya karibuni Leicester imefanikiwa kuunda kikosi imara ambacho kimekuwa chachu katika Ligi ya EPL na sina itaendelea kutoa ushindaji mkubwa hata baadhi ya wachezaji muhimu kuondoka#meridianbettz

    Jibu

    Leicester City wamepata kifaa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.