Ligi ya mabingwa sasa inaanza kuwa ya moto kwenye hatua za makundi! Ni Rodrigo au Ronaldo? Valencia wanamkaribisha Juventus Jumatano tarehe 19 Septemba kwenye dimba la Mestalla katika ufunguzi wa Champions League hatua ya makundi.
Juve watakua wanajiamini kushinda Champions League mwaka huu baada ya kumpata mkali Christiano Ronaldo kutoka Real Madrid ambaye aliwachapa msimu uliopita kwenye robo fainali.
Lakini wanayo kazi ya kufanya kuanzia kwenye kundi H ambako safari inaanzia anakutana na Manchester United Valencia na Young Boys! Hapa tunakupatia majina ya wachezaji wanaoenda kuunda vikosi vya mpambano huu wa kibabe Jumatano hii.
Valencia
Makipa: Jaume Domenech, Norberto Neto, Cristian Rivero
Walinzi: Ruben Miguel, Jeison Murillo, Gabriel, Mouctar Diakhaby, Jose Gaya, Lato, Cristiano Piccini, Ezequiel Garay, Javier Jimenez, Alejandro Centelles
Viungo: Geoffrey Kondogbia, Goncalo Guedes, Carlos Soler, Daniel Parejo, Denis Cheryshev, Francis Coquelin, Daniel Wass, Ferran Torres, Uros Racic, Alex Blanco
Washambuliaji: Kevin Gameiro, Rodrigo, Santiago, Michy Batshuayi, Jordi Escobar Fernandez, Kangin Lee
Juventus
Makipa : Wojciech Szczesny, Carlo Pinsoglio, Mattia Perin
Walinzi : Mattia De Sciglio, Giorgio Chiellini, Medhi Benatia, Alex Sandro, Andrea Barzagli, Leonardo Bonucci, Joao Cancelo, Daniele Rugani
Viungo: Miralem Pjanic, Sami Khedira, Blaise Matuidi, Emre Can, Rodrigo Bentancur, Federico Bernardeschi
Washambuliaji: Cristiano Ronaldo, Paulo Dybala, Douglas Costa, Juan Cuadrado, Mario Mandzukic
Lombo
asante meridian kwa habar zenu
Gabriel
Nice update 👍
#meridianbettz
isha
Makala nzuri
Issa
Safi sana
Povel tz
Habar njema