PSG: 4-2-3-1 Bomu kwa Liverpool

Mabingwa hawa wa ufaransa wanaonekana mambo si mambo katika League 1, Lakini Bosi wao mpya bwana Thomas Tuchel anajua kuwa Champions League ndio kipaumbele  cha klabu hiyo.

Tangia klabu hiyo ilipofika mikononi kwa mamilionea wa Qatar mwaka 2011, wamefikia robo fainali mara 4 na pia 16 za mwisho mara 2, sasa wanataka wafikie nusu fainali na zaidi.

Baada ya kushinda mara tano katika mataji 6 yaliyopita ya League 1 na makombe yote ya nyumbani kwa misimu 4 iliyopita, wanahitaji kutoboa Zaidi.

Mifumo anayoipenda Tuchel

Bosi huyu mjerumani amejaribu mifumo ya 4-3-3, 3-4-1-2  na  4-2-3-1 tangu alipofika hapo Parc des Princes.  Daily Star wameripoti kuwa licha ya ugumu wa kujua ni mfumo gani hasa atautumia kwa sasa, anaripotiwa kuwa 4-2-3-1 ndio silaha yake dhidi ya Liverpool.

Mfumo huu unaweza kuwa rafiki, baadhi ya wachezaji wanaikosa gemu dhidi ya Liverpool -Marco Verratti, Gianluigi Buffon, Dani Alves na Layvin Kurzawa wanatarajiwa kukosa gemu hiyo kwa sababu tofauti tofauti.

Mfumo unaotazamiwa kutumika na PSG ni (4-2-3-1): Areola; Meunier, T Silva, Kimpembe, Bernat; Marquinhos, Rabiot; Mbappe, Neymar, Di Maria; Cavani

Wataonekanaje Uwanjani?

PSG: 4-2-3-1 Bomu kwa Liverpool

3 Komentara

    Mmh hatar.

    Jibu

    Mfumo hatar sana huo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.