Nchi ya China ni miongoni ina vilabu vingi ambavyo vina lengo la kuleta heshima katika soka na vinaonelea mbali sana katika uendelezaji wa soka ndani ya taifa hilo. Wamekuwa nyuma …
Makala nyingine
Mara chache sana kukuta familia moja ya watoto wawili waliozaliwa pamoja kufanya kitu kinachoendana na kwa kiwango kilekile kinachooneshwa na mmoja. Lakini katika nchi za wenzetu ni kawaida sana kukuta …
Katika soka kila kipindi huwa na historia yake ambayo kwa namna fulani huwa imejengwa ndani ya wachezaji ambao ndio hubeba falsafa nzima ya soka. Katika siku za karibuni baadhi ya …
Kuwa mchezaji mkubwa na anaekubalika na kila klabu ni ndoto ya kila mchezaji; nyota wengi hutamani nafasi hiyo adhimu ya kuweza kuwika na angalau kulipwa mshahara mkubwa ambao utaweza kuwa …
Uwezo wa nyota wawili yaani Messi na Ronaldo sio kitu ambacho kinaweza kuondoka na kusahaulika leo tu. Majina ya wawili hayo yametawala katika midomo ya wengi kwa miaka kadhaa jambo …
Kuna idadi kubwa sana ya wachezaji wa kiafrika ambao wanaheshimika kwa kiwango kikubwa ndani ya mataifa yao kwa mafanikio makubwa waliyoweza kuyapata na kusaidia pia ndani ya mataifa yao kuweza …
Kombe la dunia ambalo hufanyika kwa kipindi maalum kutoka kwenye muda ambao unajulikana duniani kote mara nyingi huibua burudani ya aina yake kutokana na timu nyingi kujupanga kimashindano ili kuweza …
Kumekuwa na gumzo juu ya yupi ni bora kati hawa wawili: Hazard na Salah. Wapenda soka wengi duniani wamekuwa wakijaribu kuonesha upande upi wameegemea juu ya nani anaweza kuwa bora …
Soka siyo tu mchezo wa kushindanisha timu mbili uwanjani, pia linaendana na uwekezaji katika viwanja ambavyo mara nyingi huwa ni kivutio kikuvwa cha mashabiki; pia huchochea wachezaji kucheza kwa namna …
Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande huu wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina …
Nyota aliyechezea klabu ya Manchester United kwa kipindi kifupi ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Inter Milan amekuwa katika kiwango ambacho kimekuwa kikiwashangaza wengi katika msimu huu ambao anacheza …
Meneja wa zamani wa klabu ya Juventus, Allegri anaona endapo klabu hiyo itahitaji kuongeza nguvu katika safu ya ukufunzi ndani ya benchi lao hawana budi kabisa kumuhusisha nyota wa zamani …
Timu ya taifa ya Bulgaria wamekutana na mkono wa sheria mara baada ya vitendo vinavyopigwa vita na shirikisho la soka duniani juu ya ubaguzi wa rangi na kashfa zote zinazoashiria …
Huwa ni jambo linalovutia pale inapotokea mchezaji anafikia hatua fulani kihistoria ambayo haijawahi kufikiwa na mwingine au pale nyota fulani anapoweka rekodi kwa kuvunja rekodi ambayo iliwekwa na nyota mwingine. …
Maelfu ya wanawake wameruhusiwa kushangilia mechi zinazohusisha timu yao ya taifa mara baada ya kuwepo kwa kizuizi kwa taifa hilo ambalo kwa upande mmoja au mwingine lilikuwa ni kinyume na …
Kocha wa klabu ya Juventus inayoshiriki ligi kuu ya nchini Italia anaonesha nia yake ya wazi kutaka kufanya kazi na nyota wa klabu ya Chelsea ambaye amekuwa na kiwango bora …
Kombe la dunia ambalo hufanyika kwa kipindi maalum kutoka kwenye muda ambao unajulikana duniani kote mara nyingi huibua burudani ya aina yake kutokana na timu nyingi kujipanga kimashindano ili kupeleka …
Ikumbukwe kwamba aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Ureno na mwalimu wa zamani wa klabu ya Barcelona, Luis Enrique alijiondoa kwenye kikosi cha timu hiyo katika kipindi kifupi huku …
Timu ya taifa ya Ujerumani na klabu ya Bayern Munich ambayo inashiriki ligi nchini humo bado zina utegemezi wa hali ya juu kwa mlinda mlango, Manuel Neuer ambaye ana rekodi …
Inaonekana isiwe shida sana kwa kikosi cha Barcelona kuwakosa nyota kama Messi kutokana na uwepo wa wachezaji ambao bado wana nafasi ya kutafuta matokeo uwanjani hata kama wakongwe wa klabu …