Mshambuliaji wa Fiorentina, Moise Kean amejiondoa kwenye kikosi cha Italia kutokana na maumivu ya mgongo, na Lorenzo Lucca atachukua nafasi yake.
FIGC ilisema Jumatatu kwamba mshambuliaji huyo hatakuwepo kwa mechi za Italia dhidi ya Ubelgiji na Israel mnamo Oktoba.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Juventus alikuwa amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 23 cha Luciano Spalletti kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi ya Mataifa ya Roma dhidi ya Ubelgiji na Udine dhidi ya Israel.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
