Grealish Kuwakosa Leeds United Kesho.


 

Kiungo mshambuliaji wa Aston Villa, Jack Grealish anatarajiwa kuukosa mchezo wa kesho watakao kuwa ugenini dhidi ya Leeds United uwanjani Ellan Road.

Kocha wa Villa, Dean Smith amethibitisha kukosekana kwa Grealish baada ya kusumbuliwa na maumivu kidogo kutokana na kucheza mechi nyingi mfululizo.

Hatakuwa tayari kwa kesho. Alikuwa na maumivu, kwa hivyo alikwenda kuonana na daktari na waliamua kuwa anahitaji muda wa kupumzika. Ninaamini kwamba yuko karibu sana kutokuwa na maumivu. alisema Smith

Villa anashika nafasi ya 8 akiwa na alama 36 baada ya michezo 23 mbele ya Leeds wanaokamata nafasi ya 10 wakiwa na alama 35 baada ya michezo 25.

 


TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

7 Komentara

    Pole sana Jack utapata nafuu tu na kurud kwenye game

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Kazi kweli kweli

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole sana kwake

    Jibu

    Pole sana kwake

    Jibu

    pole yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.