Hazard Atarudi Kwenye Ubora Wake - Zidane.


 

Eden Hazard alitokea benchi katika mchezo wa La Liga Elche walipo waalika Real Madrid uwanjani Estadio Manuel Martínez Valero.

Hazard aliingia uwanjani zikiwa zimesalia dakika 13 mchezo kuisha ambapo waliambulia sare ya 1-1. Mchezaji huyo amekumbwa na majeruhi toka ahamie katika klabu hiyo katika mchezo wa kwanza dhidi ya Alavez November 28.

 

Luka Modric alifunga goli la ufunguzi dakika ya 20, lakini Elche walizawadiwa penati mapema kipindi cha pili na kuwekwa wavuni na Fidel.

Hazard amerudi, lakini anahitaji muda na mechi za kutosha. Ni kitu kinachoenda hatua kwa hatua.” alisema Zidane

 


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

17 Komentara

    Atakuwa poa tu ni swala la mda

    Jibu

    Ni swala linalowezekana kabisa kwa Hazard kurudi kwenye ubora wake

    Jibu

    Akiamua hakuna linalo shindikana kwake hazard

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habali nzuli

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Atakuwa sawa tuuu

    Jibu

    hakuna kinachoshindikana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hazard yupo makini

    Jibu

    Namkubali Hazard

    Jibu

    Hazard anarud kwenye ubora wake

    Jibu

    Hazard akaze buti atarudi kwenye hadhi yake tu

    Jibu

    Kweli kabsaa

    Jibu

    Hazard rud chelsea

    Jibu

    Hazard yuko vzur

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.