Karia : Hakuna Atakae Dhurumiwa, Pesa Zitarudishwa.


 

Rais wa TFF, Warrace Karia amesema: “Kuna taarifa itatolewa, hiyo ndiyo itaeleza kila kitu juu ya mechi hiyo kusogezwa mbele hadi kuahirishwa, lakini sasa hata mimi sijui nini kilitokea.”

 

Kuhusu pesa za kiingilio za mashabiki, Bosi huyo wa TFF amesema ziko salama na hakuna atakayedhulumiwa.

“Pesa haziko TFF ziko Serikalini, kwa kuwa zinakusanywa kwenye mfumo wa Serikali wa N Card, huko ziliko ziko kwenye mikono salama katika mfumo wa Kielektroniki.

“Kila aliyelipia kiingilio chake hatadhurumiwa kwa kuwa mfumo wa N Card unarekodi.” Amesema Karia.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

9 Komentara

    Warudishe tu wasilete ubabaifu

    Jibu

    Wamezingua sana

    Jibu

    🤣🤣🤣 baada ya kuwachachafya

    Jibu

    Kwanza wametukwaza

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Hapo kazi ipo ngoja tusubiri tuone kama kweli 🙄🙄

    Jibu

    Wamezinguwa sana

    Jibu

    Ndo tunasubir pesa zet

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.