Klabu ya Manchester United inajiandaa kumpa mkataba ambao utakuwa na mshahara mnono mshambuliaji wao Edinson Cavani.
Cavani alikuwa anajiandaa kuondoka ndani ya kikosi hicho mwishoni mwa msimu.
Kutokana na kiwango cha nyota huyo kuzidi kuimarika kimewafanya Manchester United wafikirie kumpa kandarasi mpya nyota huyo.

Taarifa zinasema kuwa mabosi wa Manchester United wanahitaji kumpa dili la pauni milioni 250,000 sawa na shilingi milioni 810.
Alijiunga na Manchester United akitokea kikosi cha PSG ya Ufaransa msimu huu. Jana wakati timu yake ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Aston Villa alitupia pia bao moja.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.



aisha
Bonge la dili
Elika
Safi sana kijana
Sarah
Dili nono
Adelta
Edinson Cavani yuko vizuri hongera yake
Johnmary jo
Hongera sanaa
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi zake
Amiri Kayera
Yupo kweny kiwango cha juu sana