Bado mbio za ubingwa wa LaLiga msimu huu zinasuasua, ni Atletico Madrid, Barcelona au Real Madrid atakayeibuka kidedea?
Wikiendi hii pengine tungepata picha halisi ya mbabe wa msimu huu kunako Ligi Soka nchini Hispania – LaLiga. Baada ya dakika 90, mambo yalikuwa tofauti.
Barcelona na Atletico Madrid walimaliza mchezo kwa matokeo ya sare, hii ilikuwa nafasi ya Real Madrid kukwea kileleni kwenye mchezo dhidi ya Sevilla. Vijana wa Zidane wanakwama wapi?

Vijana wa Santiago Bernabeu wamejikuta wakilazimika kumaliza mchezo kwa matokeo ya 2-2 na hivyo kuendelea kujiweka kwenye mazingira magumu ya kutetea ubingwa wao wa LaLiga msimu huu.
Matokeo hayo, yanaendelea kumuweka Atletico Madrid kileleni akiwa na alama 77 huku Barcelona na Madrid wakiwa na alama 75 katika nafasi ya 2 na 3.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.



Sania mapua
Dah noma sana
Saupha
Atalii
aisha
Kweli sio powa
Elika
Dah kweli sio poa
Sarah
Shughuli
Adelta
Sio poa kabisaa
Johnmary jo
Pole sanaaa
Lydia Emmanuel Magoti
Sio poa kabisa
Amiri Kayera
Ubingwa upo waz