Real Madrid, Ubingwa wa LaLiga Bado Pagumu.

Bado mbio za ubingwa wa LaLiga msimu huu zinasuasua, ni Atletico Madrid, Barcelona au Real Madrid atakayeibuka kidedea?

Wikiendi hii pengine tungepata picha halisi ya mbabe wa msimu huu kunako Ligi Soka nchini Hispania – LaLiga. Baada ya dakika 90, mambo yalikuwa tofauti.

Barcelona na Atletico Madrid walimaliza mchezo kwa matokeo ya sare, hii ilikuwa nafasi ya Real Madrid kukwea kileleni kwenye mchezo dhidi ya Sevilla. Vijana wa Zidane wanakwama wapi?

Vijana wa Santiago Bernabeu wamejikuta wakilazimika kumaliza mchezo kwa matokeo ya 2-2 na hivyo kuendelea kujiweka kwenye mazingira magumu ya kutetea ubingwa wao wa LaLiga msimu huu.

Matokeo hayo, yanaendelea kumuweka Atletico Madrid kileleni akiwa na alama 77 huku Barcelona na Madrid wakiwa na alama 75 katika nafasi ya 2 na 3.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

9 Komentara

    Dah noma sana

    Jibu

    Atalii

    Jibu

    Kweli sio powa

    Jibu

    Dah kweli sio poa

    Jibu

    Shughuli

    Jibu

    Sio poa kabisaa

    Jibu

    Sio poa kabisa

    Jibu

    Ubingwa upo waz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.