Kocha mkuu wa Yanga SC Cedric Kaze ameweka wazi imani yake kwa mshambuliaji wake Michael Sarpong raia wa Ghana baada ya shutuma nyingi za mashabiki juu ya uwezo mdogo wa mshambuliaji huyo katika kucheka na nyavu.

“Sarpong ana kipaji kizuri na ni mmoja kati ya wachezaji wenye bidii sana mazoezi na ni nidhamu yake ni nzuri hivyo mashabiki waweke imani juu yake na mimi kama kocha ninaweka mikakati kabambe kurejesha makali yake,” alisema kaze
“Huu ni upepo tu mbaya ambao wachezaji wengi wazuri huwatokea . Atakuwa bora na kila mmoja atasahau hiki ambacho kinawafanya kukosa imani kwa Sarpong. “ aliongeza kocha huyo
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



David Pere
Akaze buti tu atatisha mbeleni
Issa
Saprong noma
Sania
Sarpong yupo vizur
Magdalena
Aendelee kiwa na imani nae sarpong yupo makini sana
Sarah
Darling mtu makini
Adelta
Kijana sarpong Yuko vizuri
Neema juma
Kikubwa ni kuongeza bidii
Dorophina
Sarpong jembe
Caroline
Sarpong yupo vizuri
Hopemwaikuka
Jambo zur
Sylvester
Sarpong ni utopolo mmoja hivi halijui goli
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
warda
Aendelee kumwamin ila atalia siku moja