Magori : Sakho Alikuwa Anaenda Uturuki.

 

Mjumbe Kamati ya Usajili na Mshauri wa Aliyekuwa M/Kiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentus Magori ameeleza namna walivyomnasa Pape Ousmane Sakho.

 

“Niliwaambia watu kuwa Sakho alikuwa anaenda kwenye majaribio timu moja ya Uturuki ya Premier tukaingilia kati kumnunua akiwa na tiketi mkononi watu walijua napiga hadithi tu!” alianza Magori.

“Huyu mchezaji asingeumizwa siku ile Dodoma, sasa hivi angekuwa wa moto zaidi ya sasa hivi.

“Ni uamuzi wake. Ilikuwa aende majaribio Transpoor ya Turkey, ambayo hayana uhakika, au aje Simba ambapo ilikuwa na uhakika wa usajili! Akaamua kuacha trial akaja kusajiliwa Simba.

“Na Rais wa Klabu yake aliweka kipengele cha onward sale percent iwapo mchezaji atauzwa!!” aliongeza Magori.

Sakho ataiongoza Simba SC katika fainali ya kombe la Mapinduzi Zanzibar hapo kesho watakapo vaana na Azam FC katika uwanja wa Karume majira ya saa mbili na robo usiku.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.