Manchester United na Newcastle United Kutorushwa kwenye TV

Manchester United na Newcastle United kuna uvumi umekuwa ukisambaa na kuwapa hofu mashabiki wa Uingereza kuwa ujio wa Christian Ronaldo hautaweza kuonekana kwenye runinga siku ya jumamosi, kutokana na sheria iliyokuwepo toka mwaka 1960.

Zuio la mechi kuchezwa saa tisa alasiri, ndilo linatapelekea mechi kutoonyeshwa ambalo  kwa mara ya kwanza lilitolewa na mwenyekiti wa timu Burnley, Bob Lord miaka ya 60, ili kuzuia uwezekano wa mashabiki kusalia nyumbani.

Bob alipendekeza kuwa hakuna mechi itakayoonyeshwa kwenye runinga kuanzia saa nane na dakika arobaini na tano hadi saa kumi na moja  na dakika arobaini na tano, kwenye vituo vyote vya runinga nchini Uingereza, sheria hiyo haikuweza kufanya kazi kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa uviko 19 sababu mashabiki hawakuruhusiwa kuingia viwanjani.

manchester united
Manchester United na Newcastle United

Ni jambo la kushangaza kuwa mashabiki wanaoishi nchini Uingereza hawataweza kuingalia mechi hiyo lakini zuio hilo halizuii sehemu nyingine za dunia kutoitazama mechi hiyo kupitia runinga.

Manchester United inayotarajiwa kuchezwa saa kumi na moja kwa saa za Afrika Mashiriki imekuwa kivutio kikubwa kote ulimwenguni kutokana na kurejea kwa mshambuliaji hatari Christian Ronaldo kwa mara ya pili akitokea Juventus.


USHINDI KIGANJANI KWAKO!

Meridianbet inakuletea ushindi kwenye kiganjani kwako, unafurahia radha halisi ya burudani ya kasino mtandaoni na tabasamu la ushindi.

Meridianbet Online Casino

 INGIA MCHEZONI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.