Mendy Akabiliwa na Tuhuma Mpya za Unyanyasaji.

 

Mchezaji wa Manchester City, Benjamin Mendy (27) sasa anashtakiwa kwa makosa nane ya ubakaji, shtaka moja la unyanyasaji wa kijinsia na moja la kujaribu kubaka na hii ni baada ya mwathiriwa mpya kujitokeza.

 

Mnamo mwezi uliopita, Mendy alikana mashtaka yote isipokuwa shtaka la hivi karibuni la kujaribu kubaka ambalo anatarajiwa kulijibu Julai 25, 2022.

Makosa yote yanadaiwa kutendeka nyumbani kwa mchezaji huyo kati ya Oktoba 2018 na Agosti 2021.

Mendy, ambaye amecheza mechi 50 za Premier League akiwa na Manchester City tangu ajiunge nayo akitokea Monaco mwaka 2017 na amecheza mechi 10 za kimataifa akiwa na Ufaransa, alisimamishwa na klabu hiyo baada ya kushtakiwa.


SHINDA SAMSUNG A32 NA AVIATOR

SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!

kasa wa njano, Kasa wa Njano Awapa Ubingwa wa CL Liverpool., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.