Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo aliandikisha historia katika mchezo wake wa 600 wa ligi kwa kufunga bao la 20 katika Serie A msimu huu walipoishinda Spezia 3-0 uwanjani Allianz.
Mabao yote matatu yalifungwa katika kipindi cha pili huku Ronaldo akilifunga goli la tatu alipotumia vyema fursa ya kupewa pasi katika dakika ya mwisho.

Alvaro Morata alikuwa amefunga bao la kwanza kutumia krosi ya mwenzake Federico Bernardeschi kabla ya Federico Chiesa kufunga goli la pili.
Ushindi huo sasa umeisongesha Juventus hadi alama tatu chini ya nambari mbili AC Milan katika Jedwali la Serie A .
Bao la Ronaldo sasa linamaanisha anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga takriban mabao 20 katika kila vipindi 12 vya ligi tano kubwa za bara ulaya.
Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx
Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.



Venerose
Ronaldo yupo vinzur sana
warda
Namkubali sana CR7
Sarah
Namkubali Ronaldo
Caroline
Great
Angelina
Nice
Neema juma
Yuko vizuri sana Ronaldo
Adelta
Ronald yuko vizuri na anakubalika sana na mashabiki
Rahma
Ronaldo mtu mbaya sana
Mwanahamisi
Ronaldo mtu mahili
Hopemwaikuka
Guud
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Sadick
CR7 hata baada ya kufikisha miaka 36 bado anaonyesha uwezo wa kuendelea kufunga