Simba SC Yatua Tabora Kuikabili KMC.

 

Klabu ya Simba SC imetua salama mkoani Tabora tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Ijumaa katika Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi.

 

Mara ya mwisho Simba SC kucheza mechi mkoani Tabora ilikuwa Aprili 18, mwaka 2017 dhidi ya Rhino Rangers ambapo ulikuwa ni mchezo wa kirafiki na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Afya za wachezaji waliokuwa wanaumwa zinaendelea kuimarika kwa kiasi kikubwa na wamesafiri na karibu kikosi kizima kwa ajili ya kutafuta alama tatu muhimu.

Taarifa zinasema Baada ya kikosi cha Simba kuwasili wachezaji watapumzika kidogo na jioni watafanya mazoezi ya kuweka miili sawa kuelekea mchezo huo.


KUWA BINGWA MSIMU HUU WA SIKUKUU NA OCEAN CALL

Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.