Zidane : Benzema Mshambuliaji Bora wa Ufaransa Kuwahi Kutokea.


Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane amemsifu mshambuliaji wa timu hiyo Karim Benzema kama mshambuliaji bora wa Ufaransa kuwahi kutokea baada ya kuisaidia timu yake kupata ushindi dhidi ya Athetic Bilbao.

Benzema alifunga magoli mawili wakati Madrid wakiwafunga Athetic 3-1 na kufikia alama sawa na Real Sociedad na Atletico katika uongozi wa jedwali la Laliga.

 

Karim amefikisha magoli 10 katika mashindano yote msimu huu, ikiwa ni zaidi ya mchezaji yeyote wa La Liga.

Alipoulizwa kama Benzema ni Mshambuliaji bora wa Ufaransa Zidane alijibu, “Kwangu Ndiyo, kwa kuongeza kwa anachokifanya, anachokionyesha, amekuwepo Real Madrid kwa muda mrefu.

“Zaidi ya Mechi 500, magoli yote, rekodi zake. Alichokifanya kinajieleza chenyewe. Kwangu ni bora, ipo wazi kabisa.” aliongeza Zidane.


BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!

INGIA MCHEZONI!

19 Komentara

    Ongera sana benzema

    Jibu

    Benzama Yuko vizuri kwenye ubande wa kufunga magoli

    Jibu

    Benzema yupo vzr

    Jibu

    Benzema anajitahidi sana yupo vzr

    Jibu

    Benzma mtu maili Yuko vizuli

    Jibu

    Hongera benzema

    Jibu

    True…

    Jibu

    Karim yupo vizuri mpaka zidane amekubali

    Jibu

    True say

    Jibu

    Benzema antisha

    Jibu

    Benzema yupo vizuri mnoo

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Benzema fundiii

    Jibu

    Fundi huyo

    Jibu

    Haa benzema Fundi huyo

    Jibu

    Ni kweli kabisa kijana yupo vizuri

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ni kweli maneno ya zidane

    Jibu

Acha ujumbe