Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane amemsifu mshambuliaji wa timu hiyo Karim Benzema kama mshambuliaji bora wa Ufaransa kuwahi kutokea baada ya kuisaidia timu yake kupata ushindi dhidi ya Athetic Bilbao.
Benzema alifunga magoli mawili wakati Madrid wakiwafunga Athetic 3-1 na kufikia alama sawa na Real Sociedad na Atletico katika uongozi wa jedwali la Laliga.
Karim amefikisha magoli 10 katika mashindano yote msimu huu, ikiwa ni zaidi ya mchezaji yeyote wa La Liga.
Alipoulizwa kama Benzema ni Mshambuliaji bora wa Ufaransa Zidane alijibu, “Kwangu Ndiyo, kwa kuongeza kwa anachokifanya, anachokionyesha, amekuwepo Real Madrid kwa muda mrefu.
“Zaidi ya Mechi 500, magoli yote, rekodi zake. Alichokifanya kinajieleza chenyewe. Kwangu ni bora, ipo wazi kabisa.” aliongeza Zidane.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Shakila mrope
Ongera sana benzema
Adelta
Benzama Yuko vizuri kwenye ubande wa kufunga magoli
Khadija
Benzema yupo vzr
Sarah
Benzema anajitahidi sana yupo vzr
Rahma
Benzma mtu maili Yuko vizuli
Mwanahamisi
Hongera benzema
Caroline
True…
Dorophina
Karim yupo vizuri mpaka zidane amekubali
Hopemwaikuka
True say
Issa
Benzema antisha
Saupha mohamed
Benzema yupo vizuri mnoo
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
neema hassan
Benzema fundiii
samiah
Fundi huyo
Lydia Emmanuel Magoti
Haa benzema Fundi huyo
Samira
Ni kweli kabisa kijana yupo vizuri
Tatu
Hongera yake
Janeflora malisa
Safi
warda
Ni kweli maneno ya zidane