Simba Yaelekea Zanzibar Kwaajili ya Mapinduzi Cup

Klabu ya Simba, baada ya kufunga mwaka kibingwa kwa kuichabanga Tanzania Prisons mabao 7-1 yaelekea Zanzibar kwaajili ya michuano ya Kombe la Shirikisho ambapo watakipiga dhidi ya Mlandege.

 

Simba Yaelekea Zanzibar Kwaajili ya Mapinduzi Cup

Simba na Mlandege mchezo wao utapigwa majira ya saa 2:15 baada ya mchezo wa Azam kumalizika huku timu hiyo ya Juma Mgunda akitazamia kuchukua taji hilo tena msimu huu.

Wekundu wa Msimbazi ndio mabingwa watetezi wa Kombe hili walipomtoa Azam FC kwenye mechi yao ya Fainali huku kukiwa na malalmiko kwa baadhi ya viongozi na wachezaji wa klabu ya wanalamba lamba baada ya kupoteza.

Simba Yaelekea Zanzibar Kwaajili ya Mapinduzi Cup

Mnyama yupo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi baada ya kujikusanyia alama 44 kwenye michezo 19 ambayo amekwishacheza hadi sasa. Atarejea kwenye ligi kukiwasha dhidi ya Mbeya City mwezi wa pili.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.